Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Hello samahan iv tezi dume inaweza sababishwa na ngono zembe
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 305
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Samahani muudumu naomba unielekeze kuhusu hili swala nilialibikiwa mimba ya mwezi mmoja na nilitokwa na damu ndan ya wikiii sita na nimekaa wiki mbili damu zinatoka tena ivii ni tatizooo aul
Na pia baada ya damuu kukata nilitokwa na ute ute ambao ulikuwa unaniwasha
Je,mtu akiwa ameasirika alafu akameza dawa je majibu yatato vp??
Vidonda mdomon huonekana baada ya mda gani?
Ninasumbukiwa na uvimbe wa titi nitajuaje kama uvimbe ni wakaida na nimda gani nikae ili nikamuone doctor?
Assalamualaykum naomba kupata elimu je mke wa Nabii Nuhu aliitwa nani?
Lkn Kwan mwanamke mjamzito kwa wiki moja ni kawaida kuharisha mapovu na makohoz like na maumivu ya mgongo kwa chini kama kuwaka moto