Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Hello samahan iv tezi dume inaweza sababishwa na ngono zembe
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 305
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Na swali juu ya kujuwa mke wng naweza anaweza kujuwa km ameshika mimba baada ya siku ngap baada ya tendo
swali langu je ni kiwango gani cha damu kwa binadam ikifika ngapi mtu anakuwa na dalili za upungufu wa damu
Ninasumbuliwa na fangasi ambao niliwapata baada yakunyonya uke
Namaswali machache Kuhusiana kushik mimba. Mimi niliingia period tarehe 4 mwez uliopita yaan December, n mwez wa11 pia niliingia hedhi tarehe 4. So maximum kua siku ya hatr n siku ya10 c ndio ambay n tareh13 na nimekutan n mmewangu siku za hatr kimwili, leo nimepima mimba Ila kimekuj kimstari kimoja, inamaanisha sina mimba au nimewahi kupima ujauzito?
Habar dogta nimeskulu sana kwa ushauri wako naelimu.tosha ila kuna swali nipenda kujiuliza kila siku kunawatu malanyingi wakina mama wanapenda kuwanaipele kwenye mkono zilenidalili za ukimwi au vinatokana na mazingira?
Tumbo linapata gas nalinajaa sana. Kunawakati nahisi vitu vinatembea timboni