Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nina shida naumwa tumbo upande wa kushoto
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 843
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Samahani nlinunua kipimo cha hiv nikajipima mwenyewe majibu yalitoka negative lakini baada kama ya lisaa limoja nlipoludi kuangalia kipimo kwa mala ya pili nikakuta kuna msitari1 wa negative unaoonekana vizuri kabisa halafu kuna mistari mingine miwili iliyopimda pinda na haijafika chini jumla inakua mi3
Swali lingine mbona mwanamke anaweza kuwa hamefunga bridi na umri mkubwa hata miaka 50 baadaye anabeba mimba hiyo hinakuaje
Je kama utete unao Toka ukeni unakuwa na njano njano tatizo nn
Habari naomba kuuliza eti mimba huanza kuonekana siku ya ngap
najickia maumivu maumivu.. sanyingine nakuwa kam mkojo umenibana xn lkn hmn au unakuwa kidogo xn
Za jioni mimba ya wiki 3 ikitoka inakuaje