SWALI

Mm nimjamzito wa miezi 6 kasoro lakini ninaahida napata maumivu ya nyonga,kiuno na uke unakuwa unavuta na maumivu

Swali No. 448




JIBU

Nyonga kwa mjamzito ni kawaida kuuma. Hata hivyo kama inauma sana vyema. Kumuona daktari

 

Maumivu ya nyonga hutokana na mwili kutanua nyonga kwa ajili ya kujiandaa kuoitisha mtoto. Hivyo katika hali. Za kawaida kwa mjamzito sio tatizo.



Kumbukumbu
Swali hili limeulizwa na Muulizaji Kutoka WhatsApp Chat yetu tarehe 22-02-2023-15:01:15 . Jina la muulizaji limehifadhiwa.

Nicheki Nicheki WhatsApp






MASWALI YANAYOFANANA