Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mm nimjamzito wa miezi 6 kasoro lakini ninaahida napata maumivu ya nyonga,kiuno na uke unakuwa unavuta na maumivu
Nyonga kwa mjamzito ni kawaida kuuma. Hata hivyo kama inauma sana vyema. Kumuona daktari
Maumivu ya nyonga hutokana na mwili kutanua nyonga kwa ajili ya kujiandaa kuoitisha mtoto. Hivyo katika hali. Za kawaida kwa mjamzito sio tatizo.