Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je kutokwa na majimaji sehemu za siri ni dalili za nn
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 768
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Samahan mm napata maumivu baada ya kumarza tendo randoa shda inakuwa nn hasa pia ume wangu unasima kidogo unakuwa meregea hauwi mgum ashda nn hasa
Na mimba ya Kwanza ikitoka inafaa amalize mda gani ndo ashike ingine
Je kuharisha na kupungua uzito mwilini kunauwezekano ni maambukizi ya virusi baada ya Kufanya ngono bila kinga
Assalam Alyqum Warahmatullah Wabarakatu...
Nimepitia kitabu chenu kimojawapo nikakutana na Vipengele vingi tu lakin kimojawapo n cha STARA kwa Mwanamke.kuwa ajifunike mwili mzima kasoro USO na VIGANJA..
Swali langu..Je kwa Wanawake wanaovaa Madera au Vijora nguo hizo huku mikononi huishia nusu mkono.nao watakuwa njee ya STARA au itakuaje na nini kifanyike.??? Asanten👏🏿
Side effects za kula ukwaju ni zipi..?
Je izo protine poda za mazoezi zina mazara kiafya?