Pata jibu kamili kuhusu swali lako
fangasi inayoweza kutibika iwe imedumu kwa muda gani ?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 791
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mm ni binti mwenye miaka 20 mara ya mwisho kupata hedhi ilikuwa tereh 5/2 ila mpka leo tareh 8 cjaon chcht na leo asubuh nmepima upt ni negative naomba ushaur jaman cjui nifany nn
Dalili za mimba zinazoonekana ukeni
Mimi baada ya kufanya mapenz na mwanamke anayesemekena ana ukimwi baada ya wiki 2 nilienda kupima na sikukutwa na maambukizi ya ukimwi lakini saivi nasikia maumivu ya misuli hasa kwenye goti la kushoto
Habari mi nilikuwa na mimba ya miezi miwili ikawa imeharibiki nikaenda kusafishwa ,baada ya siku tano nikaaanza kushiriki tendo la ndoa hadi leo je sijawahi kushrki tendo hilo na halina madhara
Ila tarehe moja nikishirik tendo kabla mume wangu hajasafiri na ilitakiwa tarehe 18 mwezi huu nianze perio ila hadi leo sijapata period leo ni siku ya sita nimepitiliza
Mimi ninachangamoto ya mauvi chini ya tumbo kwa kushoto pia napata maumivu kwenye mbavu upande wakushoto