Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je Quran ina sura ngapo?
Quran ina sura 114. Sura ya kwanz ani surat al fatiha na ya mwisho ni surat an nas. Ila ikumbukwe kuwa mpangilio huu sio kwa mujiu wa zilivyoteremshwa.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Asalaaam aleykum ndugu naweza kupata. Maana ya jina la Ulya ndani ya quran tukufu. Sura na ayat
Mimi nikitaka kuoa mke wa pili kunahaja ya kumtaarifu bimkubwa na kama nikimtaalifu akakataa je nifanyeje?
Nko na swali wakat unaanza kula unatamka vip. Bismillah Rahman Rahim ama watamka Bismillah pekeake.
Ass alaykum?naomba kuuliza?jee ibada ya hijjah ilikuwepo kabla ya mtume Muhammad (s,a,w)?
Je,ni ipi dalili itakayonijulisha kua Leo ni usiku wa lailatu likadri ili niombe hiyo dua?
Je kula chakula ni ibada Au ni ada