Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je Quran ina sura ngapo?
Quran ina sura 114. Sura ya kwanz ani surat al fatiha na ya mwisho ni surat an nas. Ila ikumbukwe kuwa mpangilio huu sio kwa mujiu wa zilivyoteremshwa.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je? Hawa waislam waliofunga Katie lipinski cha mwezi waradhan na wako na wake ambao hawajafunga nao ndoa japo wamekaa nakuzaa watoto zaid ya watatu je funga hizi zinaswihi?
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatu.
Samahani naomba kufahamu kwa mwanamume alie muacha mkewe kwa talaka tatu nikipi kifannyike ama taratibu gani zinapashwa zichukuliwe ili mwanamume huyo aweze kuishi tena kihalali na alie kua mkewe.
Asalam alaykum warahmat llah wabarakat kitabu cha swala yasunnatul nikizuri ila ktk kutazama kuna kwala yasunnatul tasbih sjaiyona sheh wang namm niltaka kujuwa mafunzo ya jimsi mtu anavyo swal sunatl tasbih
Je? Unaswaumu halafu umezaa nje mtoto mama kaomba hela unaruhusiwa kuto?
Assalamu alaikum je mwanamke kadai talaka naakainunua baadae akataka kurewa je rejea ipo nakama ipo kuhusu mahari je
Je ni Sahihi kufunga mwezi wa shaaban katika siku 15 za mwisho