Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je Quran ina sura ngapo?
Quran ina sura 114. Sura ya kwanz ani surat al fatiha na ya mwisho ni surat an nas. Ila ikumbukwe kuwa mpangilio huu sio kwa mujiu wa zilivyoteremshwa.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Naitaji kujifunza hatua zote za swala kuanzia kutia udhu pamoja na kusimamisha swala
A.alaykuuu swalii.....kwa mujibuu wa suratul,asri aliefelii na na alifauluu ni nani
Jee nabii mussa alilelewa na nani?
Nataka kufahamu vitabu vya mungu vipo vingapi
Zakat ili uanze kutoa inatakiwa uwe na kuanzia Kiasi gani cha pesa
Asalaam aleykum naomba kuuliza mama yake marimu anaitwa nani?