SWALI:
Je Quran ina sura ngapo?
Swali No. 1313
JIBU
Quran ina sura 114. Sura ya kwanz ani surat al fatiha na ya mwisho ni surat an nas. Ila ikumbukwe kuwa mpangilio huu sio kwa mujiu wa zilivyoteremshwa.
Kumbukumbu
Swali hili limeulizwa na Muulizaji Kutoka WhatsApp Chat yetu tarehe 06-03-2025-01:59:57 . Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nicheki Nicheki WhatsApp