Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je Quran ina sura ngapo?
Quran ina sura 114. Sura ya kwanz ani surat al fatiha na ya mwisho ni surat an nas. Ila ikumbukwe kuwa mpangilio huu sio kwa mujiu wa zilivyoteremshwa.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Asslm alkm?swali:mke wa nabii nuhu aligharikishwa au?
Asalam aleykum shekhe,mgawanyo wa elim dunia na elim akhera haukubalik kwa sababu zipi zingine
Je? Kwa mtu ambaye amevunja kiapo anatakiwa kuwalisha maskini kumi chakula cha katikati anachowalisha watu wa nyumbani kwenu. Sasa swali langu chakula cha katikati kiasi gani na anatakiwa apeleke kwa muda gani?
Asalaam aleykum. Ni matumaini yangu ya kwamba m buheri wa afya. Nilikua nataka kufahamu utaratibu wa kutoa talaka kwa mke ambae bado hujamaliza kulipa mahari yake.
Wakati wa kuswalia mait,Yawezekana unapenda kuswali,Maiti wako,ila humjuzi wa hiz Dua, yafaa nikafanya kwa vitendo? Siri yangu Kimoyomoyo,?
Naomba kueleweshwa jinsi ya kuswali taraweehe na jinsi ya kunuia maana naswli nyumbani