Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ni zipi ishara zilizomo katika nafsi ya mwanadam
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 45
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Assaalaam Alykum,
Mimi nataka kujua jinsi ya manuwiz ya swala ya eid, ahsantee
Nahitaji kujua UDUGU ni nini? Faida za udugu na hasara za kuvunja udugu katika uislam
Swali langu Mimi Nipo kwenye ofisi za mikopo nafanya kazi na izo ofisi zina liba ndani yake je mimi nae ni miongoni mwa Wala liba
Ni mwajililiwa katika ofisi za mikopo na ofisi izo zina liba ndani yake je mimi nae ni miongoni mwa Wala liba
Mimi nina mtoto wangu wa kiislam, lakini kapata mchumba wa ki kirsto, je naruhusiwa kula Mahari yake? Naomba msaada huo
Assalam alaykum nauliza je ni dhambi kusoma qur-an ukiwa kichwa wazi
ikiwa marehemu kaacha mke mmoja na watoto watano wakiume na wakike wawili hawa mgawanyo wao upo vipi