Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Asalam alaykum natka kujuwa kisa Cha ngo'mbe wa baniii israil
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 693
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Asalam ALEYKUM,,,Ninahoji kitu ki1" " ktk mawaidha flani ,shekh alitoa namna ya kuoga,(Janabah) shekh asema nivizuri ukaanza na kutawadha kwanza ndipo uonge,,Sasa iweje nianze na kutawadha Ndipo nioge,AMA kuna namna sijamwelewa,kwasbb sasa kila 1 awa Mtoa mawaidha kadri anavyojua yeye, asante,,Asalam
je kuna hukumu ukifunga siku ya kufungua sita?
Asalaam aleykum. Ni matumaini yangu ya kwamba m buheri wa afya. Nilikua nataka kufahamu utaratibu wa kutoa talaka kwa mke ambae bado hujamaliza kulipa mahari yake.
Hmn yurad unao somwa baada ya kusha sali hzo rakaa mbili na kutoa salamu
Naomba kujua tofauti kati y hadithi qudsi na hadithi nabawiy
Naomba kuuliza je mwanamke akiwa katika sikuzake anaruhusiwa kufunga