Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Naomba Dua za kusoma wakati wa funga
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 910
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Unatoa maoni gani iwapo wanao jua na wasio jua wapo sawa kiutendaji
Je najisi ya mbwa kukuramba inaenea? Kwa mfano akakulamba ww kwenye mkono halafu wewe ukaja kunisalmia mimi nikakushika sehem ileile alokulamba mbwa
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatu.
Samahani naomba kufahamu kwa mwanamume alie muacha mkewe kwa talaka tatu nikipi kifannyike ama taratibu gani zinapashwa zichukuliwe ili mwanamume huyo aweze kuishi tena kihalali na alie kua mkewe.
Mke wa mtu Ana weeza kutenguwa mumewe? N'a nguo yakuazima ina twahara?
Vitabu vya hadithi wakati wa maswahaba
Je unaruhusiwa kulala na mke endapo hujaanza kukaa itiqaf ya masiku kumi haya ya mwisho? Ijapokuwa yameshafika ila cjaanza kukaa itiqafu.