Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Naomba Dua za kusoma wakati wa funga
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 910
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
NAOMBA USINAIDIE MASHAGANZI ZAKE NA MTUME S,aw WALIKUWA WANGAPI NA MAJINA YAO WALIITWAJE??
Samahn mwalim naomba unisaidie aina Saba za usomaji wa Quran
Taja aina saba za usomaji na mashehe wake na nchi zake kabla ya kuhifadhiwa quran katk msahafu lakwanza ilo
Je maneno yakwenye bible ni ya uongo
Nilikuwa nahitaji mafundisho zaidi kwenye suala la kuswali na dua zake ili niweze kuswali kikamilifu na kusimamisha swala bila kumkwaza allah
Swalat haja inaswaliwa muda gani. Na rakaa ngapi. Na surat zip unatakiwa kuzisoma
Napenda kuuliza swali.nimambogani yanaweza yanaweza kuzuia Dua zako kwa ALLAH subahanah wataala