Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Faida za kusali Sala za sunna zichambuwe
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 410
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Jee nduguzake na Nabii YUSUFU walikua na mama mmoja au kila nduguye na mamake?
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatu vp Hali zenu mimi nilikuwa nahitaji kitabu sijajua kinaitwaje ila hicho kitabu kina mal islam kina nguzo za uislamu kina nguzo za lmani
je utakapokula daku ukisikia adhana ya kwanza unatakiwa uwache Kula au umalizie kula mpaka adhana ya pili
Ninaweza kupata dawa yakukawiya wakati yakitendo cha ndowa ?
Je,ni ipi dalili itakayonijulisha kua Leo ni usiku wa lailatu likadri ili niombe hiyo dua?
Jana alikuja alielua mume wangu akawaambia watu kua nimemuacha s mke wangu je nataka kujua ikiwa ni lazima akicha kue na mshahid wa kweli je hapo talaka imepita na kama imepita anafaa kunipa karatas au haifai