Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Faida za kusali Sala za sunna zichambuwe
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 410
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je mtu akitokwa na upepo yaani kujamba je lazima kutawadha kwanza ndo ashike udhu??
Asalam alkum mimi nimepewa talaka tatu pasipo na shahidi yoyote je hapo talaka amenipa kwa usahihi?
Naomba kuuliza taratibu za kupata cheti cha ndoa. Ndoa ya kiislam imefungwa na shekhe, kwa kawaida taratibu za kupata cheti cha ndoa baada ya ndoa kufungwa zikoje / kinapatikanaje? Na ni Baada ya muda gani?
Naombaa unisaidie vitabu vya dinii vilivyo andikw kw kiarabu na kwa kiswahilii ambavyo naweza kuvitaa mtandaonii mfan hadithi za mtume fiqhi na siraa
Asalam aleikum warahmatullah wabarakatuhu, mimi nimemuachia mke wangu zakatul fitri aigawe ,bahati mbaya mlengwa katafutwa zaidi ya mara mbili hakupatikana ,kaja kupatikana baada ya swala ya iddy, nini hukumu ya hiyo zaka?
Jee nduguzake na Nabii YUSUFU walikua na mama mmoja au kila nduguye na mamake?