Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Faida za kusali Sala za sunna zichambuwe
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 410
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Naam shukran na je!alhabib swali langu ni kama ifuatavyo:mke wangu ni mjamzito nyakati ya kujifungua wadaktari wakanambia nitie saini ima nimpate mke wangu akiwa hai au nimpate mwanangu sheria yanihitajia kufanyaje?
Swalaa ya istikhara yaswaliwa vip???
Nauliza kama aujui kusoma Quruani na unaswali kila kipidi cha swala je kunapungufu apo
Kitugani kilicho pelekea wakati wa tabiin kuandikwa hadithi
Je itaondokaje hadathi kubwa kama pakikosekana maji
Je mtu aliezidiwa akjitoa manii usiku wa Ramadhan je inakuaje?