Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Faida za kusali Sala za sunna zichambuwe
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 410
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Asalam aleykum swali langu ni hv ni lazima muoge janaba kabla ya swala ya alfajir mkikutana mtu na mke wake katika funga ya ramadhan
Jana alikuja alielua mume wangu akawaambia watu kua nimemuacha s mke wangu je nataka kujua ikiwa ni lazima akicha kue na mshahid wa kweli je hapo talaka imepita na kama imepita anafaa kunipa karatas au haifai
nauliza ya kwamba kama simfaham dua za swala za usiku nafanyaje kwani huwa naswali lakini naswali kawaida tu na hvi nimetoka kuswali.
Je ni Sahihi kufunga mwezi wa shaaban katika siku 15 za mwisho
Je naruhusiwa kuchinja nikiwa nimefunga ramadhani?
Asalam alaykm naomba unipatie ushahid kuunganisha ya magharb na Ishaa kwa sababu ya mawingu