Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ni vyakula gani vinasaidia kuongeza madini mwilini?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 724
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kaka habali m na vipele makalion na kwenye uume ni vina niwasha sana kila nikipma magonjwa ya zinaa Sina huenda ukawa ni dalili ya ugnjwa gan
Habari za jion samahan nlikuwa nauliza maana mm period naingia tarehe 2 ila mpk leo sijaziona na nashikwa na kizunguzungu pia tumbo linakuwa linauma japo si kila mda pia nakua nahis kuna kitu kimekaa kwenye koo km kinataka kutoka ety itakuwa ni dalili ya mimba au?
Ila nasikia maumivu ya kichwa mara kwa mara
Fangasi wa uume unatibuje kwa mafuta ya nazi na ni yep yanafananaje
Nina mtoto mmoja ana umr wa miaka kumi Sasa toka hp nikaja kupata mimba ikatoka hd Sasa Kila nikijaribu kutafuta mtoto mwingne imeshindikana
Naomba kujua dawa za kushusha pressure nazipatje ninaitaji ninasumburiwa na pressure