Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ni vyakula gani vinasaidia kuongeza madini mwilini?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 724
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nina maumivu tumbo la chini ya kuelekea upande wa kushoto ,maumivu tumbo la juu karibu na kifua ,maumivu pingili za mgongo na kiuno pia mbavu jinsi yangu ni Ke miaka 44
Hbr......je kuhusu mkojo wa mama mjamzito unakuwa n rangi gan?? Asante
Habar docta samahani eti kwa mfano mtu akiwa yupo kwenye dawa ya pep ya kuzuia maambukizi ya ukimwi ata ikitokea amejichoma tena kwenye mazingira atarishi pia inazuia kwasabu unakua ushameza dawa na zipo anaendelea kumeza.
Je baada ya kugundulika na malaria ,ukianza kutumia dozi hukiwa unaharisha kunakoma baada ya muda gani?
Habari za asubuhi. Nmesoma kwa makini sana kazi za protini mwilini. Lakin pia nmesoma ikizidi sana mwili matatizo yake. Nauliza kama ikizidi inakuwa shida ni kiwango gani cha protini mtu atumie kwa siku na ale na wanga kias gani?
Samahani mimi nataka kujua aina zavidonda vya tumbo