Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ni vyakula gani vinasaidia kuongeza madini mwilini?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 724
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nina maumivu tumbo la chini ya kuelekea upande wa kushoto ,maumivu tumbo la juu karibu na kifua ,maumivu pingili za mgongo na kiuno pia mbavu jinsi yangu ni Ke miaka 44
Naomba niulize mtu anaweza kubeba Mimba akifanya mapenzi akiwa period
Habari ndugu yangu, mimi nimesoma kuhusu HIV, Ila nimepima mwezi wa November kwa kweli nilikua sawa lakini kufika mwenzi wa kwaza na wapili hadi watatu kunabiti nilifanyanae mapenzi bila kupima, kweli kwa sasa dalili nyingi nimesoma hapo kwa kweli nimeaza kuisi nikama nimeazirika namagonjwa ya zina, ila naogopa sana kwenda kupima
Wenye madonda yatumbo wana ruhusiwa kutumia matunda gan ya vitamin C?
Habari za saizi nilikuwa naomba kuuliza daktari tezi zangu za shingo zimekua Saiz ya haragwe kwa takribani mwezi lkn hazium shida nini apo
Samahani habar za leo nahisi maumivu ya hedhi karibu wiki saizi lakin sioni hedhi tumbo linajaa gesi je tatizo nin