Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je kutoka uchafu meupe ukiwa una fanya mapenzi nini
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 333
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nauliza ni dalilizipi mwanaume znaweza kumfanya ashindwe kutunga mimba
Swal Lang mm tumbo linakuw kubwa ,linauma ninahs kichefuchef lkn sitapik ,kinyes kinakiw na utelez na kutokw na dam baad ya kumlz kujisaidia ,na pia nikimlz kujisaidia nikam kweny haj kubw naanza kuhs km kun vit vinatembea .je haw watakuw ni minyoo ain gan na daw gan nitumie ili niweze Pon kwa harak,umri miak 26 jinsia kike
Je,uteute uliochanganyika na damu kwa mama mjamzito ambaye cku za kujifungua hiyo ni moja ya dalili ya kujifungua au ni tatzo?
Mm ni mwanaume mwenye umri wa miaka 23 naish na mwanamke mwenye umri wa kubeba mimba lakn mpka sasa atuna mtoto na tunaitaj mtoto
Na je hiv vipimo vya kujipima mwenyewe vya mate ni vya kwel au some time huwa vinakosea
Habari mm ni mjamzito na nina wiki mbili nazihisi hizo dalili zote kumi ulizoolozesha ila pia nina wiki moja maji yanatoka ukeni je ni sawa na leo ndo cku yangu ya makadiliyo ya kujigungua ila nimemka Sina dalili yoyote ya uchungu napata na mawazo naomba nisaide nifanye nn