Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ni nini kifanyike ili lengo la nguzo za uislamu zifanikiwe. Hoja nne
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 838
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Asalm allykum jee km ikitokea mwnamke akamwambia mume kuwa ukifanya ktu fln ndio talaka yng najiacha mwenye je mwanaume akafany kile kit hapo itakuwa n talaka Ikiwa mime hajakubalin n hilo
Assalaam a'laykum warahmatullahi wabarakaatuh! Shaykh mimi nauliza kuwa mke wangu ananiudhi kwa kuwasiliana na wanaume ambao sio mahrim zake na nikimgomea husema hawezi kuacha kuwasiliana nao hata nikimpa nasaha. Naomba nasaha nifanyeje maana nimefikisha kesi hadi kwa wazazi wake ila bado ananiambia kuwa Mimi nimemuowa yeye ila simu yake hainihusu.
Je itaondokaje hadathi kubwa kama pakikosekana maji
Asalam Alyqum Warhmatullah Wabarakat
Wakati wa swala ya jamaa kwa wanawake, wanasimama hali yakuwa vifundo vyao vya miguu vigusane, inamaan waswali huku wametanua miguu au wakiwa wamebana miguu na kunyoosha swafu kwa kugusana mabega tu...??
Swalat haja inaswaliwa vipi? Samahani.na muda mzuri ni upi rakaa ngapi ? Dua au sura ipi?
Ninapo rehem Niki Soma jina la marehem nasemaje