Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Natokwa na usaha kwenye uume
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 913
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Ninamiaka 23 ni mwanamke tatizo langu ni kwamba tumbo linaniuma sana yani kama kunakitu kinanikwangua vile tumbon kunamda linaacha lakinii nikila chakula linaniuma sana yanaa halafu linatulia linakuwa linauma kwa mbalii
Hbr......je kuhusu mkojo wa mama mjamzito unakuwa n rangi gan?? Asante
Na je siku za hatari kwa mwanamke kupata ujauzito ni hizo nane tu? Ikiwa alipata hedhi tare 1 na kuanzia tarehe 11 Hadi 18 ndizo hatari?
ivii kika waida mwanamke ndani ya siku tatu dalili gan za mwanzo zinaeza kuwa ni kiashirio cha kuwa anamimba mkuu
Nilipatwa na kisonono Miezi mitatu iliyopita nimetumia Dawa za Hospital lakini napata nafuu kidogo then hali inarudi palepale Nilipoenda kupima tena wakasema ni u.t.i nimepewa Dawa ikapoa naona inarudi tena nimetumia Dawa za kienyeji lakini hali bado siyo nzuri
Mm cjaona cku zangu ila najawa na gesi tumboni mara kwa mara na tumbo kuuma kdgo chin ya kitovu je ni mimba?