Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nataka kufahamu vitabu vya mungu vipo vingapi
Vilivyotajwa kwenye quran ni vinne 1. Zaburi 2. Tawrat 3. Injili 4. Quran
Hata hivyo vipo vingi. Karibia kila Mtume alipewa chake.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
je kuna hukumu ukifunga siku ya kufungua sita?
Assalamualaikum naomab kujua kivaaa suali ukavuka kufundo ch a mguuni ni sawa
Je mtu aliezidiwa akjitoa manii usiku wa Ramadhan je inakuaje?
Mm nauliza sual kwann baada ya mtume Muhammad hakuletwa mtume mwengine
Nataka kujua kuhusu historia za masheikh wa afrika mashariki na Elimu zao
Maana ya tawafu ni nini