Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nataka kufahamu vitabu vya mungu vipo vingapi
Vilivyotajwa kwenye quran ni vinne 1. Zaburi 2. Tawrat 3. Injili 4. Quran
Hata hivyo vipo vingi. Karibia kila Mtume alipewa chake.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
jee: mtu aka dungwa sindano ita haribu swaumu ya mtu?
Naomba kujuwa Masharti 5 ya vazi la kiislam
Jee ukimpa mkeo talaka kwa hasira bila ushahidi yoyote yapita.
Kwanin tunasema samiaallah limanihamida hatusemi Allah akibalu
Kuna watu wameona bomani mwanamke amefariki muislam mume mkristo katika utaratibu wa mirathi hapa ikoje na ameacha wazazi wawili yaani baba na mama na watoto watatu walizaa katika hiyo ndoa yao ya bomani
Historia ya dini ya kislamu inamfunza nini mwanadamu