Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nataka kufahamu vitabu vya mungu vipo vingapi
Vilivyotajwa kwenye quran ni vinne 1. Zaburi 2. Tawrat 3. Injili 4. Quran
Hata hivyo vipo vingi. Karibia kila Mtume alipewa chake.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Sababu zinazopelekea kutofikia lengo la zakka na sadaka
Assalamualaikum naomba kuhuliza kula kitu ambacho kimechinjwa na mtu anae kunywa pombe ni sawa
Dai lakuea mtume muhammad anafundishwa quran na watu na udhaifu wa madai haya
swali mim nahitaji kujua herf zakuruani
je ni ipi hukumu ya mke alietamkiwa na mume wake kuwa akifanya tendo na m/me mwengine ndio talaka yake na mke akafanya zaidi ya mara tatu?
Naweza kupata kama vitabu vingine vya dini ya kiislamu