Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nataka kufahamu vitabu vya mungu vipo vingapi
Vilivyotajwa kwenye quran ni vinne 1. Zaburi 2. Tawrat 3. Injili 4. Quran
Hata hivyo vipo vingi. Karibia kila Mtume alipewa chake.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Asalam aleykhum , swala za sunnah huswaliwa baada ya swala za faradh au kabla ?
Naomba nifundishwe jinsi yakunuwia swala ya ijumaa
Je Kama ss wanawake tunaopata au kuigya ktk siku na anatka kufanya hija je itakuaj
Asante sana na swala ya saa nane usik ina laka ngapi
Zakat ili uanze kutoa inatakiwa uwe na kuanzia Kiasi gani cha pesa
Assaalaam Alykum,
Mimi nataka kujua jinsi ya manuwiz ya swala ya eid, ahsantee