Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nataka kufahamu vitabu vya mungu vipo vingapi
Vilivyotajwa kwenye quran ni vinne 1. Zaburi 2. Tawrat 3. Injili 4. Quran
Hata hivyo vipo vingi. Karibia kila Mtume alipewa chake.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatu vp Hali zenu mimi nilikuwa nahitaji kitabu sijajua kinaitwaje ila hicho kitabu kina mal islam kina nguzo za uislamu kina nguzo za lmani
Lakaa za swala yaani kwa mfano swala ya asubuhi inalaka ngapi saa Saba inalakaa ngapi saa kumi inalakaa ngapi saa mbilo usk inalakaa ngap
Je maneno yakwenye bible ni ya uongo
Asslm alkm?swali:mke wa nabii nuhu aligharikishwa au?
nina swali.mke wangu alikataliwa na ndugu asirudi kwangu nayeye akakubali leo sina mawasilia miezi 4 sasa je Bado kuna ndoa japo?
Kwanin mwanaume anaoa wanawake zaid ya mmoja Kwan uyo mmoja hamtoshi