Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Asalaam aleykum naomba kuuliza mama yake marimu anaitwa nani?
Mariam alikuwa ni mtoto wa Imrani na mama yake aliitwa Hannah
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kwa kutumia ushahid wa aya onesha kua quran ilishushwa katika usiku mtukufu wenye cheo
Hatua za kuondosha maovu katika jamii
Ni nini kifanyike ili lengo la nguzo za uislamu zifanikiwe. Hoja nne
Dai lakuea mtume muhammad anafundishwa quran na watu na udhaifu wa madai haya
Assalamualaikum naomab kujua kivaaa suali ukavuka kufundo ch a mguuni ni sawa
Samahn mwalim naomba unisaidie aina Saba za usomaji wa Quran
Taja aina saba za usomaji na mashehe wake na nchi zake kabla ya kuhifadhiwa quran katk msahafu lakwanza ilo