Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Asalaam aleykum naomba kuuliza mama yake marimu anaitwa nani?
Mariam alikuwa ni mtoto wa Imrani na mama yake aliitwa Hannah
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Napenda kuuliza swali.nimambogani yanaweza yanaweza kuzuia Dua zako kwa ALLAH subahanah wataala
Dua kwa mama mjamzito anae umwa na hajifungui
Swali lang naomba kujuwa kufanya biashara ya play station au Games je naingia kwny haramu.
Je itaondokaje hadathi kubwa kama pakikosekana maji
Swala ya witri inaweza swaliwa kwa kuunganisha bila kutoa salaam baada ya rakaa 2
Je kwa mfano mtu umekuangukia mkojo kwenyw nguo na unataak kwenda kuswali Nini unatakiwa kufanya