Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Asalaam aleykum naomba kuuliza mama yake marimu anaitwa nani?
Mariam alikuwa ni mtoto wa Imrani na mama yake aliitwa Hannah
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Asante na kama ukipata haja kabwa au ndogo na ukastanji ni lazima kuchukua udhu tena ?
nauliza ya kwamba kama simfaham dua za swala za usiku nafanyaje kwani huwa naswali lakini naswali kawaida tu na hvi nimetoka kuswali.
Habari samahani naomba kujua historia ya Lebanon juu ya uislamu?
Naomba kuuliza taratibu za kupata cheti cha ndoa. Ndoa ya kiislam imefungwa na shekhe, kwa kawaida taratibu za kupata cheti cha ndoa baada ya ndoa kufungwa zikoje / kinapatikanaje? Na ni Baada ya muda gani?
je kuna hukumu ukifunga siku ya kufungua sita?
je ni ipi hukumu ya mke alietamkiwa na mume wake kuwa akifanya tendo na m/me mwengine ndio talaka yake na mke akafanya zaidi ya mara tatu?