Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Asalaam aleykum naomba kuuliza mama yake marimu anaitwa nani?
Mariam alikuwa ni mtoto wa Imrani na mama yake aliitwa Hannah
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Naomba vipi qadar ya mwenyezi mungu ina athiri Manisha ya muumini
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatu vp Hali zenu mimi nilikuwa nahitaji kitabu sijajua kinaitwaje ila hicho kitabu kina mal islam kina nguzo za uislamu kina nguzo za lmani
Jee nabii mussa alilelewa na nani?
A.alaykuuu swalii.....kwa mujibuu wa suratul,asri aliefelii na na alifauluu ni nani
Nabii adam ameumbwa kutokana na nini
Naomba matumizi ya komamanga kuhusu kusaidia kujitibia nguvu za kiume je unasaga juice ama kula kawaida tu asante