Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kuitikia salamu ni faradh ain au kifaya?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 644
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
A'alaykum, Nilioa mke wa pili baadae nikija kumjurisha mke wangu wa kwanza, yeye ajafanya maamuzi ya kuondoka huu mwaka wa 6 sasa na sijampa talaka, hapo kuna ndoa tena?
Naam shukran na je!alhabib swali langu ni kama ifuatavyo:mke wangu ni mjamzito nyakati ya kujifungua wadaktari wakanambia nitie saini ima nimpate mke wangu akiwa hai au nimpate mwanangu sheria yanihitajia kufanyaje?
Taja watu watano ambao uislamu umewakataza kuwapa maji. Pindi ambapo maji hayo yamewekwa kutiliwa udhu
Nataka kujua nini mtazamo wa kikafiri juu ya dini
Mume kampa talaka mkewe baada ya siku mbili tatu mume kamuhitaji mtalaka wake na wakakutana wakafanya yao, lakini hajamtamkia kama kamrejea, je hapa atakua kashamrejea au amezini nae?*
Eda ya mwanamke aliyeachwa ni tohara 3, Eda ya mwanamke mjamzito ni mpaka atakapojifungua, Eda ya mwanamke aliyefiwa ni miezi 4 na siku 10, Jee mwanamke aliyefiwa na mumewe huku akiwa na ujauzito itakuaje eda yake?