Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kuitikia salamu ni faradh ain au kifaya?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 644
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Assalam alaykoum warahmatullahi wabarakatuh,,,ni Nan anayeruhusiwa kufunga lkn atatoa fidia ya kulisha masikn mmoja kila cku
Nataka kujua kuhusu historia za masheikh wa afrika mashariki na Elimu zao
Asalam alykum nikuwa nauliza ety vifungu vya faradhi ni vingapi?
Kijiji chao nabii ibrahim kinaitwaje..? Na kilikua kikaliwa na watu gani.?
Uislamu wakati wa makhalifa ulipata changamoto nyingi sana ambazo zilipelekea kuwatia khofu waislamu wanafikiria mambo gani yaliopelekea kuondosja changamoto izo
Nataman kujua Jins ya kujitwaharish kujua kuswali na kusoma Quan je unanisaidiaj?