Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nasumbuliwa na acid tumboni inawezakuwa sababu ya mm kutoshika ujauzito??
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 554
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nilikuwa nauliza natokwa na uchafu warangi ya njano arafu mzito hili litakuwa nitatizogani
Hello Natatizo la fangasi kwenye mdomo ila sipati maumivu yeyote huwa npo kawaida tu. Na chakula nakula vzr, nimetumia dawa ili kutibu uu muonekano wa ulimi uwe vzr lakn Bado cjapata dawa sahihi
Nahisi nina tezi dume. Nitawapataje kuweza kupata msaada?
Mm ninamavu ya tumbo upande wa kushoto maumivu makali sana nimefanya exry amna shida extsaond amna kitu sijui shida nn
Je mimba ya miez 6 inasababisha kuumwa kiuno
Shida yangu mikono inalegea na kukosa nguvu pia kufa ganzi na halafu miguu pia inakosa nguvu na maumivu ya mwili wote hasa kifuani