Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nasumbuliwa na acid tumboni inawezakuwa sababu ya mm kutoshika ujauzito??
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 554
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
kuhusu hizo dawa za fangas zilizo tajwa hapo juu mjamzito anaweza kuzitumia,
Niko na40year nasina mtoto lakini wakati watendo ladoa natowa maji.
Naweza faya nn dyo niewach kutowa hayo maji niepate mimba.
Kaka mm na mpenz ambay nilishirkinae tendo mara kadhaa ya wik 1 kabl ya kuingia period na baada na baada ya kuingia pid nikashirk nae tena sik 1 baada ya kutoka pid baada ya apo alitokwa na dam kdiog tu ikakata asaiv anadai ana kizunguzung kuna wakat anaona giza pia kiuno na tumbo linamuuma kias
Dem akianza Day one mpka day five akifnya sex anashika mimba?
fangasi inayoweza kutibika iwe imedumu kwa muda gani ?
Mimi ni mjazito siku zangu zimekaribia za kujifungua na Niko na shida za saa nyengine ya pumzi shida ni nini