Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mimi ninadalili zote za ujauzito ila nkipima negative sijui nn shda
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 598
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Ni namna gani ambavyo mtu anaweza kujikinga na ukimwi
Doctor me nonaomba ushauri maziwa yangu laini sana afu napata kizunguzungu na kuumwa na tumbo chino ya kitovu na mkojo wangu una rangi nyekundu shida nn
Bibi alienda period tarehe21 tumekutana kimwili 4 anaweza shika Bal kweli
Lkn Kwan mwanamke mjamzito kwa wiki moja ni kawaida kuharisha mapovu na makohoz like na maumivu ya mgongo kwa chini kama kuwaka moto
Nanamiaka23 ninamtoto wa mwaka sasa na ilinianza hiii Hali nikiwa na miez minne mwaka Jana titi lilikua limejaa Sana maziwa na maumivu Hadi nikawa nashidwa kumnyonyesha mtoto baada ya maumivu kupungua ndo uvimbe nikawa naugusa mpaka sasaiv
Habari,naomba kuuliza je katika iyo hali ya kuwa na fangasi ukeni halafu ni mjamzito unweza kutumia dawa zakuweka ukeni kama zile tube au vidonge? Au kunanjia gani tofauti yakuzuia iyo muwasho,majimaji machafu?