Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Hivi kutokwa na maji maji kwenye uume ni tatizo gan
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 956
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nauliza Mimi nipo Zambia Kwa jina naitwa Kennedy kama umeathilika vipimo vinauwezo wa kusoma negative miezi sita
As-alaykum. Naomba list ya watu ambao mwanamke haruhusiwi kufanyanao miamala kama ya kugusana au kukaliana pamoja au kukaa pekeyao nk Au list ya watu anaoruhusiwa kugusana nao tu.
Mimi nililala na Mwanamke mwenye ameathirika niko na wiki mbili saii je nitasaidika kweli
Mm sijapata period ni miezi miwili sasa ila ninepima ujauzito kwa UPT negative pia tumbo linauma nikilipobonyeza naomba unisaidie tatiz nini
Habar, samahan naomba kuuliza, endapo unapata maumivu makali ya tumbo upande wa kulia kwa chini na maumivu hayo unayapata wakati wa hedhi na wakati wa siku za kubeba mimba harafu maumivu hayo yanaambatana na kuunguruma je! Inaweza kuwa nini?
Mimi naitwa samson.Nilikuwa nakuomba unisaidie kazi za vitamin zote, a b,c d e k