Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Hivi kutokwa na maji maji kwenye uume ni tatizo gan
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 956
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habar katika dalili zote nilizosoma ninazokumbana nazo mm ni kujisaidia kinyesi laini ,kujamba mara kwa mara ,kuhisi kwenda haja kubwa ukienda unajamba tu, kichwa kuuma ,na paja kuuma mm nitakuwa na shida Gani maana napata maumivu tumboni upande wa kulia
Je kwa wiki ya Kwanzaa na ya pili ya ujauzito ni lazma kutokwa na majimaji au ute uken na je implantation bleeding ni lazima? Na inatokea kipind cha mda gani cha ujauzito
Hivi vidonda vya tumbo vinasababishs kupumua haraka haraka
Mama mjamzito akishajifungua hurudi katika hali ya kawaida
Mm ni mwanaume mwenye umri wa miaka 23 naish na mwanamke mwenye umri wa kubeba mimba lakn mpka sasa atuna mtoto na tunaitaj mtoto
Samahani, mm na mwezi mmoja na siku kama 5 toka nikutane na mwanaume. Cjaona siku zangu na ilitakiwa nizione tangu mwez wa pili 23 ... Najiskia ovyoovyo tu tumbo linauma na naharisha je nwaza kuwa na mimba?