Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Hivi kutokwa na maji maji kwenye uume ni tatizo gan
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 956
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kwa kawaida naingia hedhi siku nne ya tano nakuwa namalizia sasa ivi kalibuni nimeingia TU ijumaa juma mos juma pil DAMU ikakata naomba kujua shida ni nini?
Lkn me najiulizaga swali korona virus na hiv ni virus kuna maemo wanasemaga virus hatibiki Sasa kama hatibiki why wanaweza kutibu korona afu ukimwi hawawez kutibu ? Embu nisaidie dr kama unauwelewa ju ya hilo jambo nalojiuliza
Nina umri wa miaka 21 msichana naomb uxhaur nilitoka period siku ya 5 nikakaa siku mbili nikafanya mapenz je naeza pata miba
Kufany kwa vijibu ambavo huwasha katika eneo la mbele la uume ni tatizo gani
Nina umr wa miak 26 jinsia yangu y kiume swar langu nilikuwa natak kufaamu mpez wangu Kila nkimwnglia anais maumvu kwenye uke wake mpak nampelekea kumchubua
Mimi nataka dawa za kiungulia alafu uniambie na vyakula vya kula...uenda nakosea kwenye vyakula ninavyokula