Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Naomba nifundishwe jinsi yakunuwia swala ya ijumaa
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 61
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Aesalam alaykum je kur an imeshushwa kwa mudagan
Nahitaji kujua UDUGU ni nini? Faida za udugu na hasara za kuvunja udugu katika uislam
Mke wangu aliingia siku zake tar 13 mwezi huu,amemaliza tar 17 msaada ni ipi siku ya kushika ujauzito? Ahsante.
Je Kama mtu hajawa na uwezo wakulipa hiyo zakatuli fitri swaumu yake haitopokelewa?
Assalaam a'laykum warahmatullahi wabarakaatuh! Shaykh mimi nauliza kuwa mke wangu ananiudhi kwa kuwasiliana na wanaume ambao sio mahrim zake na nikimgomea husema hawezi kuacha kuwasiliana nao hata nikimpa nasaha. Naomba nasaha nifanyeje maana nimefikisha kesi hadi kwa wazazi wake ila bado ananiambia kuwa Mimi nimemuowa yeye ila simu yake hainihusu.
Vitabu vya hadithi wakati wa maswahaba