Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Naomba nifundishwe jinsi yakunuwia swala ya ijumaa
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 61
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kwema, je hii swala ya dhuha nitaiswalije au hatua zake zikoje kipindi cha kuswali hii swala
Assalamu alaikum je mwanamke kadai talaka naakainunua baadae akataka kurewa je rejea ipo nakama ipo kuhusu mahari je
Vipi kuhusu kukanyaga kinyesi kisicho chako inabatilisha udhu?
Shaikh samahan nauliza nini hukumu ya mwanamke asiyemtii mumewe katika mambo ya kheri?
Ikiwa mke ana Tatizo la kiafya ambalo linapelekea kutoweza kushiriki tendo la ndoa na mumewe. Kuepuka dhambi za kuzini Mumewe akawa anapitisha pitisha uume wake Katika matako ya mkewe bila kugusa tundu la haja kubwa la mkewe akawa anahisi hisi joto mpaka mume anamaliza haja yake (anakojoa). Je, Sheria katika uislamu inasemaje katika suala hilo.
Kwan mbon wanasema kusom dua kabr yakumuswalia Mtume nakabr yakutoa slm nidua gan nakuomb nisayidie