Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Naomba nifundishwe jinsi yakunuwia swala ya ijumaa
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 61
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Asalam aleikum warahmatullah wabarakatuhu, mimi nimemuachia mke wangu zakatul fitri aigawe ,bahati mbaya mlengwa katafutwa zaidi ya mara mbili hakupatikana ,kaja kupatikana baada ya swala ya iddy, nini hukumu ya hiyo zaka?
Habari nijins gani yakuandk talaka
Elezea mbinu 6 walizo tumiya makafiri wa maka katika kuhilikishwa wiisilamu
Bilali alikkuwa swahaba wa kipind Cha Nabii Gani?
Marehemu ameacha mke na mtoto miaka 10, wazazi wote baba na mama yake wamefariki mali ya marehemu itarithishwa nani na kwa mafungu gani
As salaam alaykum warahmatullaahi wabarakaatuh. Tukio la mwanzo la kuvunjwa Al qaaba lilikuaa mwaka gani?