Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Samahan mi naomba unifundishe ukisha jifungua unaoga je?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 53
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Hello habari za kazi samahani naomba kuuliza je mtoto akizaliwa na tatizo la tundu kwenye moyo Kuna uwezekanao akawa mlemavu WA viungo?
nmeingia cku zangu trh 28 mwezi wa 3 na nkashiriki tendo la ndoa kwanzia cku ya 11 mpaka cku ya 18 lakn nmeona cku zangu tena trh 24 mwezi huu je sina ujauzito
Asante. Mm naomba niulize swali sijapitiliza hezi lkn mwili wangu nauona upo tofauti sana nipo very hot haswa nyakati za usi na mchana nikiwa kwenye shuri zangu huwa naishiwa nguvu nakuwa kama mtu nile lala njaa pia napata mate km ya Mt mwenye homa mepesi na maziwa yanauma pia lkn nilipima na utp majibu sina mimba na siku nilizo bakiza ni siku 6 tu niingie hezi.
Swali langu kwako jee? Inwezekana kuwa nina mimba nimewahi kupima au
UTI inaweza sababisha kuishiw nguvu na kichefuchefu?
Samahan mi nna vidonda vya tumbo nimesha tumia dawa ila nikipata nafuu kwa mda vinarudi tena kama mwanzo
mimi nikiwa nimelala usiku napata ganzi ya mkono wangu wa kushoto kuja kifuani yani had inanikera jee shida ni nini?