Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Samahan mi naomba unifundishe ukisha jifungua unaoga je?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 53
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mimi nimetafuta mtoto takiribani miaka 17, mmpa leo sijapata shida niliambia homon zipo chini, mayai hayapevuki yaani yamefika mwisho naweza pata matibabu mengine umri 45
Maji maji meupe ukeni naomba kujua chanzo chake na tiba yake kama mgonjwa anadalili ya fangasi.
Ikiwa naanza siku za hatari nakuwa na joto sana mpaka siku za period nyingne ya mwezi ujao hii inakuwa ni nn? Maaana naweza kuhis Nina mimba lakin hatima yake naingia period hii ni tatizo?
Niliwahi kufanyiwa operation ya ectopic pregnancy na nikakatwa mrija 1 wa uzazi hapa nna mrija 1 tu wa uzazi ingawa nilibahatika kuzaa mtt1 kwa njia ya kawaida namshkuru Sana mungu nataman kuzaa Tena ila sishiki mimba sijui kwa nn
Ni sababu zipi zunapelekea kizaz kusogea
Je anaweza hisi ungumu pemben ya tumbo na maumivu kuzunguka kitovu