Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Samahan mi naomba unifundishe ukisha jifungua unaoga je?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 53
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Samahani mimi nataka kujua aina zavidonda vya tumbo
Je kuwashwa kwa muda ukeni kunaweza mfanya mwanamke kuchelewa kupata hedhi
Mimi nilibeba mimbA mwez wa tisa ila mda huu naona majimaji na mtoto kachuka je nidariri za kujifungua au lha
Assalamu Alaikum me natak kujua mpangilio wa kutia udhu
Samahani nlinunua kipimo cha hiv nikajipima mwenyewe majibu yalitoka negative lakini baada kama ya lisaa limoja nlipoludi kuangalia kipimo kwa mala ya pili nikakuta kuna msitari1 wa negative unaoonekana vizuri kabisa halafu kuna mistari mingine miwili iliyopimda pinda na haijafika chini jumla inakua mi3
Habari zenu ,ninao maswali mngi sana kuhusu ukimwi ,sawali la kwanza ukimwi kuweza kuonekana kwenye kipimo baada ya kuathirika inachukua mda gani jee haiezi kuonekana baada ya miezi miwili?