Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Samahan mi naomba unifundishe ukisha jifungua unaoga je?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 53
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Madhara ya kufanya mapenzi kinyume na maumbile ni yapi
Mm na mwashoo wa macho kila siku piaa yanaonekan ni dhaif San jee! Ni dalili ya nn??
Mtoto anaweza kuzaliwa miezi nane na akaishi?
Je, dawa ya kuongeza damu kwa wajawazito Raferon iko na side effects?
Hello!! Nina swali kwenye mambo ya uzazi. Nilikutana na mwenza wng siku ya hatari na sasa yapata siku ya 12 ila nimekuwa najisikia hamu ya kula vitu tofauti tofauti, naninatoka maji meupe yasiyotoka harufu, matiti nikiyaminya nasikia maumivu ila chuchu hazijabadirika rangi nawala haziumi, ila pia chini ya tumbo upande wa kulia kwangu nakuwa nasikia kitu kinacheza haswa najisikia hiyo hali nikiwa nimelala nimetulia, je hizo zinaweza kuwa dalili za mimba???
Habalì naomba niuliźe mimi nimeng'atwa na nyoka lakini meno yake hayajatoka