SWALI
Je kuwashwa ukeni ni dalili za mimba
Swali No. 29
JIBU
Kuwashwa ukeni ni dalili ya fangasi. Unatakiwa ukae kama wiki tatu ili uweze kupima mimba. Ama baada ya kukosa soko zako hapo ndio muda sahihivkupima mimba.
Kumbukumbu
Swali hili limeulizwa na Muulizaji Kutoka WhatsApp Chat yetu tarehe 25-01-2023-17:25:34 . Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nicheki Nicheki WhatsApp