Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je kuwashwa ukeni ni dalili za mimba
Kuwashwa ukeni ni dalili ya fangasi. Unatakiwa ukae kama wiki tatu ili uweze kupima mimba. Ama baada ya kukosa soko zako hapo ndio muda sahihivkupima mimba.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habar dogta nimeskulu sana kwa ushauri wako naelimu.tosha ila kuna swali nipenda kujiuliza kila siku kunawatu malanyingi wakina mama wanapenda kuwanaipele kwenye mkono zilenidalili za ukimwi au vinatokana na mazingira?
kama mwanaume amekukojolea na ana virus inaweza kuvipata?
Je!mtu mwenye ameathitika unaweza kulala nae
Abar jaman kunaswali nataka kuuliza eti kama mjamzito yupo mwishoni dalili jingine inaweza ikawa anatoa damu ile ya mwanzo ya kwenye siku ile ya damu ya mzee kama nyeusi ivi naomba jib jaman
unaweza kushiriki tendo la ndoa kwa mjamzito akiwa na miez mingap
Nsikia upande wangu wa kushoto kwenye kifua kunawaka moto Sana?