Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je kuwashwa ukeni ni dalili za mimba
Kuwashwa ukeni ni dalili ya fangasi. Unatakiwa ukae kama wiki tatu ili uweze kupima mimba. Ama baada ya kukosa soko zako hapo ndio muda sahihivkupima mimba.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nahitaji kujuwa kwann nikiwa kwenye siku hatari, huwa najisikia maumivu ya chuchu, kitovu
Ukiingiza kwenye uke ukitoa utoka na weupe wakunuka saan shida nini hapo
Pole Kwa majukumu! Samahani Mwanangu ana miezi 8,ila toka juzi hapati haja ndogo,km ilivyo kawaida Jana Hadi Leo kakojoa mara1, Naomba msaada
Hlw nimesoma nakala yenu nasumbuliwa na tumbo upande wa kushoto kuna muta yanakuja na kupotea
Kuonyesha kwamba mwanamke ana mimba matone ya damu hutoka sku ngapi?
Naomba kusaidiwa je kutoka na maji sehem za Siri baada ya tendo ni vibaya jmn