Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je kuwashwa ukeni ni dalili za mimba
Kuwashwa ukeni ni dalili ya fangasi. Unatakiwa ukae kama wiki tatu ili uweze kupima mimba. Ama baada ya kukosa soko zako hapo ndio muda sahihivkupima mimba.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je kwa mwanaume alie mpa mimba mwanamke ana kua kwenye hali gan ??
Niko na vitu kama upele kwa makwapa je shida inaeza kua nini
Nilifanya tendon siku ya danger kabsa ila nilimeza p2 je kunauwezekano Wa kupata mimba
Mm shida yangu huu mwezi wa pili sijaziona sku zang na nimepima mimba kwa kutumia kipimo cha mkojo mara tatu sasa lkn naambiwa mimba sina je tatizo ni nn kwangu.
habari ninatatizo la fangas kwenye pachu za mapaja nahitaji matibabu kwenu napataje huduma?
Kuna dawa gani ya asili ambayo mtu anaweza tumia akapona fangas vzr?