SWALI LETU

Pata jibu kamili kuhusu swali lako

Swali #456 23-02-2023 05:26:34
Question Icon

Naomba kujuwa Masharti 5 ya vazi la kiislam

JIBU

Mashart ya vazi la kiislamu

1. Vazi lifunike mwili mzima ila zile sehemu zilizoruhusiwa kuwa nje tu

 

2. Vazi lisiwe la kubana

3. Vazi lisiwe la kuonyesha 

4. Vazi lisiwe na maremborembo kiasi cha kuvutia sana watu wakuangalie

5. Nguo za wanawake na wanaume ziwe ni maalumu kwa jinsia zao

Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.

MASWALI YANAYOFANANA

Angalia Maswali Zaidi