SWALI

Naomba kujuwa Masharti 5 ya vazi la kiislam

Swali No. 456




JIBU

Mashart ya vazi la kiislamu

1. Vazi lifunike mwili mzima ila zile sehemu zilizoruhusiwa kuwa nje tu

 

2. Vazi lisiwe la kubana

3. Vazi lisiwe la kuonyesha 

4. Vazi lisiwe na maremborembo kiasi cha kuvutia sana watu wakuangalie

5. Nguo za wanawake na wanaume ziwe ni maalumu kwa jinsia zao



Kumbukumbu
Swali hili limeulizwa na Muulizaji Kutoka WhatsApp Chat yetu tarehe 23-02-2023-05:26:34 . Jina la muulizaji limehifadhiwa.

Nicheki Nicheki WhatsApp






MASWALI YANAYOFANANA