Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Sababu za mwanaume kupata maumivu baada ya tendo la ndoa
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 634
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kuna watu wameona bomani mwanamke amefariki muislam mume mkristo katika utaratibu wa mirathi hapa ikoje na ameacha wazazi wawili yaani baba na mama na watoto watatu walizaa katika hiyo ndoa yao ya bomani
Je,ni ipi dalili itakayonijulisha kua Leo ni usiku wa lailatu likadri ili niombe hiyo dua?
Pia niliomba kufahamu. Ni shuruti panapo paswa kufungwa doa basi baba kutoa idhi ya kuozesha au humuozesha bintie swali je?
kwabinti alie zaliwa nje ya ndoa ninani anae husika kwenye utoaji waidhini au kuozesha binti huyo?.
Assalam alaykum
Naomba matumizi ya komamanga kuhusu kusaidia kujitibia nguvu za kiume je unasaga juice ama kula kawaida tu asante
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh
Hivi ktk uislam inaruhusiwa kumuoa mtu niliyemtia mimba ikiwa bado hajajifungua?
Naomb kuuliza ukiswali witri katika baada ya ishaa vipi unaruhusiwa kuamka usik kwa ajili ya sunna nyingne