Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nafangasi za kwenye ulimi zananisumbu sijuwi natumie sawa fan
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 588
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je mwanamke akijivua katika ndoa hali yakuwa mja mzito yani khulu akitaka kurudiana na mumewe inapaswa kua vipi
Kichefchef tumbo kujaa viungo vya mwili kuchoka kichwakuuma. Nidalili za minyoo nnazo but najua n mimba kumbe hapana
Mtoto wa miaka 2 akinyonya hutapika
Vitu gani havitakiwi kuvifanya wakati wa kutoa huduma ya kwanza kwa mtu anayetoka damu puani.?
Nina weza nikaingia tarehe 7 au 8 au 6 sasa hpo bdo sjajua shda nn mwka jana nilipma kpmo cha mimba nikagundulika sina ila ilpofk mwenz 10 nlfny tnd la ndoa na mume wangu sasa hv naona dalili zote za mimba sasa sina uhakika na hilo naomba unisaidie kunipa majibu ya maswali yangu.
Habari za kazi Mimi ninamtoto mchanga wa miezi miwili anasumbuliwa na maumivu ya tumbo na anagoma kunyonya ziwa la mama, je nifanyaje