Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Hbr ya majukumu mpendwa naitaji kupata elimu zaidi ju ya faida za matunda na mbgambga
Faida 10 za matundaMatunda na mboga ni muhimu sana mwilini. Kwa mfano: -
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Hello Nimesoma makala ya faida za njegere mwilini ila ninaswali Ili kufaidi virutubisho na madini yanayopatikana kwenye njegere inapaswa kuandaliwaje
Assalam aleykum samahani shekh ikiwa muislam ambae alieteleza akajitoa manii makusudi yaaan (masturbation) usiku WA Ramadhan hukumu yake ikoje?
Kichefchef tumbo kujaa viungo vya mwili kuchoka kichwakuuma. Nidalili za minyoo nnazo but najua n mimba kumbe hapana
Nina umri wa miaka 21 ni mwanamke,yan nikwamb mm nlishirik tendo juz ya tareh18 mwez huu na nilikua bikra wakt nafany tendo hilo skutok damu na kesho yake nkaanz kuona vijidam kwenye nguo ya dan na hali hio iliendelea siku nne, ila sas sjaona siku zangu mpk ss na nilitakiw siku nizione kwanzia io tareh20 mwez huu.sas swal nikwamba nina mimba ama vipi man hii nisiku ya sita mpaka sas sijaingia period na siku hiyo ya tendo sikuwa siku za hatar
Hivi mwanaume akifariki na mkewe akakaa eda na ikaisha je mdogo wake au kaka yake huyu mwanaume anaweza kumuoa huyu mwanaume?
Je kama huyu mdogo wake huyu mwanaume aliyefariki aliwahi kunyonya Kwa huyu mwanamke kipindi akiwa mdogo je itajuzu kumuoa?
Habari za wakati huu, mimi nakuwa na mate mengi mdomoni,hii inaelekea mwezi sasa,cjui shida ni nini?