Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Hbr ya majukumu mpendwa naitaji kupata elimu zaidi ju ya faida za matunda na mbgambga
Faida 10 za matundaMatunda na mboga ni muhimu sana mwilini. Kwa mfano: -
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari za wakati huu, mimi nakuwa na mate mengi mdomoni,hii inaelekea mwezi sasa,cjui shida ni nini?
Assalam aleykum samahani shekh ikiwa muislam ambae alieteleza akajitoa manii makusudi yaaan (masturbation) usiku WA Ramadhan hukumu yake ikoje?
Nina umri wa miaka 21 ni mwanamke,yan nikwamb mm nlishirik tendo juz ya tareh18 mwez huu na nilikua bikra wakt nafany tendo hilo skutok damu na kesho yake nkaanz kuona vijidam kwenye nguo ya dan na hali hio iliendelea siku nne, ila sas sjaona siku zangu mpk ss na nilitakiw siku nizione kwanzia io tareh20 mwez huu.sas swal nikwamba nina mimba ama vipi man hii nisiku ya sita mpaka sas sijaingia period na siku hiyo ya tendo sikuwa siku za hatar
Nafangasi za kwenye ulimi zananisumbu sijuwi natumie sawa fan
Kichefchef tumbo kujaa viungo vya mwili kuchoka kichwakuuma. Nidalili za minyoo nnazo but najua n mimba kumbe hapana
Nina weza nikaingia tarehe 7 au 8 au 6 sasa hpo bdo sjajua shda nn mwka jana nilipma kpmo cha mimba nikagundulika sina ila ilpofk mwenz 10 nlfny tnd la ndoa na mume wangu sasa hv naona dalili zote za mimba sasa sina uhakika na hilo naomba unisaidie kunipa majibu ya maswali yangu.