Faida 10 za matundaMatunda na mboga ni muhimu sana mwilini. Kwa mfano: -
1. Husaidia kuupa mwili uwezo wa kiasili wa kupambana na maradhi mbalimbali.
2. Husaidia kuupa mwili nguvu
3. Hukinga mwili kupata baadhi ya magonjwa hatari kama magonjwa ya moyo
Faida zaidi za matunda na mboga soma makala hizi hapa chini: -