Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Hbr ya majukumu mpendwa naitaji kupata elimu zaidi ju ya faida za matunda na mbgambga
Faida 10 za matundaMatunda na mboga ni muhimu sana mwilini. Kwa mfano: -
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kichefchef tumbo kujaa viungo vya mwili kuchoka kichwakuuma. Nidalili za minyoo nnazo but najua n mimba kumbe hapana
Mtoto wa miaka 2 akinyonya hutapika
Nina umri wa miaka 21 ni mwanamke,yan nikwamb mm nlishirik tendo juz ya tareh18 mwez huu na nilikua bikra wakt nafany tendo hilo skutok damu na kesho yake nkaanz kuona vijidam kwenye nguo ya dan na hali hio iliendelea siku nne, ila sas sjaona siku zangu mpk ss na nilitakiw siku nizione kwanzia io tareh20 mwez huu.sas swal nikwamba nina mimba ama vipi man hii nisiku ya sita mpaka sas sijaingia period na siku hiyo ya tendo sikuwa siku za hatar
Hello Nimesoma makala ya faida za njegere mwilini ila ninaswali Ili kufaidi virutubisho na madini yanayopatikana kwenye njegere inapaswa kuandaliwaje
Nafangasi za kwenye ulimi zananisumbu sijuwi natumie sawa fan
Vitu gani havitakiwi kuvifanya wakati wa kutoa huduma ya kwanza kwa mtu anayetoka damu puani.?