Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Hbr ya majukumu mpendwa naitaji kupata elimu zaidi ju ya faida za matunda na mbgambga
Faida 10 za matundaMatunda na mboga ni muhimu sana mwilini. Kwa mfano: -
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Hivi mwanaume akifariki na mkewe akakaa eda na ikaisha je mdogo wake au kaka yake huyu mwanaume anaweza kumuoa huyu mwanaume?
Je kama huyu mdogo wake huyu mwanaume aliyefariki aliwahi kunyonya Kwa huyu mwanamke kipindi akiwa mdogo je itajuzu kumuoa?
Nina weza nikaingia tarehe 7 au 8 au 6 sasa hpo bdo sjajua shda nn mwka jana nilipma kpmo cha mimba nikagundulika sina ila ilpofk mwenz 10 nlfny tnd la ndoa na mume wangu sasa hv naona dalili zote za mimba sasa sina uhakika na hilo naomba unisaidie kunipa majibu ya maswali yangu.
Je mwanamke akijivua katika ndoa hali yakuwa mja mzito yani khulu akitaka kurudiana na mumewe inapaswa kua vipi
Habari za kazi Mimi ninamtoto mchanga wa miezi miwili anasumbuliwa na maumivu ya tumbo na anagoma kunyonya ziwa la mama, je nifanyaje
Assalam aleykum samahani shekh ikiwa muislam ambae alieteleza akajitoa manii makusudi yaaan (masturbation) usiku WA Ramadhan hukumu yake ikoje?
Kichefchef tumbo kujaa viungo vya mwili kuchoka kichwakuuma. Nidalili za minyoo nnazo but najua n mimba kumbe hapana