SWALI

Hbr ya majukumu mpendwa naitaji kupata elimu zaidi ju ya faida za matunda na mbgambga

Swali No. 432




JIBU

Faida 10 za matundaMatunda na mboga ni muhimu sana mwilini. Kwa mfano: -

 
1. Husaidia kuupa mwili uwezo wa kiasili wa kupambana na maradhi mbalimbali.
 
2. Husaidia kuupa mwili nguvu
 
3. Hukinga mwili kupata baadhi ya magonjwa hatari kama magonjwa ya moyo
 
Faida zaidi za matunda na mboga soma makala hizi hapa chini: -
 
1. Faida 10 za matunda
2. Kitabu cha matunda
3. Matunda na mboga



Kumbukumbu
Swali hili limeulizwa na Muulizaji Kutoka WhatsApp Chat yetu tarehe 21-02-2023-10:43:14 . Jina la muulizaji limehifadhiwa.

Nicheki Nicheki WhatsApp






MASWALI YANAYOFANANA