SWALI

Kichefchef tumbo kujaa viungo vya mwili kuchoka kichwakuuma. Nidalili za minyoo nnazo but najua n mimba kumbe hapana

Swali No. 461




JIBU

Unajuwa dalili zinazotokea tumboni zinahusiana na mambo mengi hasa kwa wanawake. 

Pia mimba na minyoo hushirikiana kuwa na dalili za kufanana. 

Kama unakosa hamu ya kula pia huenda ikawa ni minyoo vinginevyo hatuwezi kuwa na uhakika mpaka upate vipimo. 

Yapo maradhi mengine ambayo dalili zao hushiriana na mimba na minyoo mfano wa maradhi hayo ni Typhod.

 

Fika kituo cha afya upate vipimo



Kumbukumbu
Swali hili limeulizwa na Muulizaji Kutoka WhatsApp Chat yetu tarehe 23-02-2023-10:52:52 . Jina la muulizaji limehifadhiwa.

Nicheki Nicheki WhatsApp






MASWALI YANAYOFANANA