Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Samahani nawezaje kujua week za ujauzito
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 146
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
habari mimi apa nahisi na ujauzito lakin sina uhakika naomba ushauli wenu
m nlishawahi kuwa na mtu mwenye magonjwa ya zinaa.. pamoja na p.id..fungus... kiukwel nmeangaika xn kujitibu na sas imebaki u.t.i kidogo na vifangas lkn ndugu naona kama na nguvu zangu za kiume zimekuwa zikipungua
Nina shida naumwa tumbo upande wa kushoto
Habari,Je mtu anaweza kufika hatua ya tatu ya ukimwi bila kuonesha au kupitia hatua ya kwanza au ya pili au zote kwa pamoja?
Doctr naomba mxaaada wako nilitumia p2 ucku xaa tatu nakesho take nikaendelea na doz ya dawa nilizokuwa natumia lakin nilivyomeza daw za doz nilitapk dockr naomba uxhauri
Habari me nashwali kama unayo PID unaweza kupata ujauzito na ukajifungua Salam