Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Samahani nawezaje kujua week za ujauzito
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 146
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari naitwa Neema ninashida mate yamekuwa na ladha nyengine na maziwa yanauma na nimepima mimba Sina
Je maziwa ya mtindi yanafaa kutumiwa na mgonjwa mwenye h.pylori?
Nina mimba afu natokwa na damu na kiuno kinauma sana
Naomba kujua shubiri nini.ambayo mgonjwa wa vidonda vya tumbo anaweza kutumia?
Mimi nimetafuta mtoto takiribani miaka 17, mmpa leo sijapata shida niliambia homon zipo chini, mayai hayapevuki yaani yamefika mwisho naweza pata matibabu mengine umri 45
swali langu je ni kiwango gani cha damu kwa binadam ikifika ngapi mtu anakuwa na dalili za upungufu wa damu