Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mtoto anaweza kuzaliwa miezi nane na akaishi?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 90
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je, dawa ya kuongeza damu kwa wajawazito Raferon iko na side effects?
Naomba kuuliza mwezi wa 2 trh 14 nili sex na mtu mwenye ukimwi trh 15 nikaenda hospital nikapewa pepu nimetumia pepu na Leo ni siku ya mwisho nimalize dozi ila toka juzi Kuna dalili zinajitokeza Kama homa kichwa kuuma maumivu kwenye Koo samahani naweza nikawa nimeasilika
Niko na shida nikimaliza sector ya mapenzi na mkee wangu kuna unyevunyevu kwa sehemu yangu ya Siri na mwashowasho kiasi ndani ndani inaweza kua ni shida gani
Unawezaje kujilnda navirus vyaukimw
Mimi nikikojowa mkojo unakuwa njona pia kabla ya kukojowa nkiminya uume kunatoka kama usaha ila fangas kwenye ipo kwenye mbeg
Mama anae nyonyesha mtot mwisho miez ngap haruhusiwi kunyonyesha tena ?