Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mtoto anaweza kuzaliwa miezi nane na akaishi?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 90
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nina mkewangu hapa anasumbuliwa na mapigo ya moyo kwenda mbio pia mwili kuishiwa nguvu
Nina irregular hedh tangu nakua lkn niliambiwa Nina ovarian cyst, homornal imbalance, na mayai hayajakomaa nilipewa dawa za kutumia lkn hazikusaidia
Mfano umelala na mtu ukatumia kinga kwenye shugli gafla ukashtukizia CD imepasuka gafla ukatoa apo Kwa apo ivo unaeza ambukizwa vvu
Mm kuna dalili sizielewi na ninajisikia kichefuchefu mate kujaa mdomon napia naumwa kichwa bado sija elewa dalili hizi kiukweri naomba msaada
Vp me nina tatizo kupasuka mdom yaan kubabuk
Samahani naomb kuuliza mapigo yamoyo hua yanaenda mbio sana lakini kwa mda mfupi mpaka naishiwa nguvu nahisi kuchoka,ila nlishawahi kushikwa napresha nkiwa mjamzitoe je nifanyaje hiyo hali ipotee