Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mm napata maumivu ya tumbo upande wakushoto chini
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 632
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari pole na majukumu kuna kipindi nilianza kuumwa chini ya kitovu nikaambiwa nina uvimbe nikapewa dawa nikamaliza dose lkn nikawa napata maumivu lkn sio ya kila siku hethi kuvurugika ovyo maumivu makali kipind cha heth nikawa natumia tu dawa za maumivu
Sasa saivi naskia kitu kinacheza tumboni chini ya kitovu na mda mwingine kama kinavutaa nikienda kukojoa naskia maumivu kama kitu kinashuka chini mda mwingine maumivu ya tumbo kama vichomi
Na tumbo lng linaumuka
Za jioni mimba ya wiki 3 ikitoka inakuaje
Napenda kuuliza kama kuna madhra yeyote kufanya mapenzi na mama anae nyonyesha
Nahitaji kujuwa kwann nikiwa kwenye siku hatari, huwa najisikia maumivu ya chuchu, kitovu
Nimeishi na mwenye virusi vya ukimwi miaka minne tumeenda kupima yeye anamaambukizi ya virusi vya ukimwi afu Mimi Sina na nimepima mala mbili
Na juz jmne nilitok km tui .na Leo yalikuwa mepesi kulik y juzi. Na kiuno mda mwengn kinauma.naomba msada