Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mm napata maumivu ya tumbo upande wakushoto chini
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 632
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari.tatizo la kumwaga mapema linaweza kutibika?
Assalam Alyqum Warahmatullah Wabarakatu...
Nimepitia kitabu chenu kimojawapo nikakutana na Vipengele vingi tu lakin kimojawapo n cha STARA kwa Mwanamke.kuwa ajifunike mwili mzima kasoro USO na VIGANJA..
Swali langu..Je kwa Wanawake wanaovaa Madera au Vijora nguo hizo huku mikononi huishia nusu mkono.nao watakuwa njee ya STARA au itakuaje na nini kifanyike.??? Asanten👏🏿
Nina mimba ya wezi na wiki mbili ila kuna siku napat iyo damu alafu inapotea aina shida kwangu??
Habari naomba kuuliza eti mimba huanza kuonekana siku ya ngap
Namaswali machache Kuhusiana kushik mimba. Mimi niliingia period tarehe 4 mwez uliopita yaan December, n mwez wa11 pia niliingia hedhi tarehe 4. So maximum kua siku ya hatr n siku ya10 c ndio ambay n tareh13 na nimekutan n mmewangu siku za hatr kimwili, leo nimepima mimba Ila kimekuj kimstari kimoja, inamaanisha sina mimba au nimewahi kupima ujauzito?
Hello,,Mimi nikishiriki tendo la DOA na boyfriend wangu na akanijulisha yakwaba ameshikwa na maumivu na Mimi akuna venye nasikia at a kidogo
Nikiwahi pata infection na nikatibiwa soo kumaanisha aijawagi pona ama nafaa nitumie dawa gani