Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mm napata maumivu ya tumbo upande wakushoto chini
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 632
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Doctor napatwa na maumivuu upande wa kulia na hedhi inatoka matone tu
Mimi mpenzi wangu anatoka ute mweupe ukeni je tatizo ninini
Na pia mtu mwenye ujauzito uke wake waga ukoje unakuwaga mkavu au unatoka utete Kila siku
Kama mtu mzunguko wako wa kawaida .naukafanya tendo la ndoa ukiwa kwenye hedhi utapata mimba?
Samahani naomba kuuliza nimeingia pireod mwezi wa kwanza na mpaka sahivi sijaingia na mimi ni mama nae nyonyesha je naweza kuwa na mimba au vip
Mfano mtu akikanyaga kiwembe cha muathilika alf baada ya masaa mawili bila ya kunawa miguu akakukanya pajan lkn na wewe unakidonda tumboni sasa wakati wakusafisha ukapitisha sabuni ulipokanyagwa na ulipookuwa unakidonda je unaeza pata ukimwi