Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ukiwa umebeba ujauzito sikuile ya kwanza umefanya mimba ikaingia tumbo linauma?
Huwenda likauma ila hatuwezi kusema ni ujauzito. Kwani maumivu ya tumbo kwa mwanamke yanahusiana na mambo mengi
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Za leo mpedwa mm na tatizo la kutoshika mmb
Me naitaji kujua dalili. Ama viashilia vya vvu
Unawezaje kujilnda navirus vyaukimw
Hellooo! Ndugu najihisi kuwa mpweke sana, kwani Huwa nahisi mm ni mgongwa wa ukimwi, lakini nikienda kupima naambiwa sio mgongwa, lakini dalili nationa kama ni kweli mm ni mgojwa, kwani afya niliyonayo Si sawa na afya yangu kabla ya miaka mitatu iliyopita, nifanyeje ndugu, naomba ushauri!
Samah doctor nina maumivu chin yakitovu siku za nyuma nilikuwa nakojoa mkojo ambao upo cloud na nyonga inaniuma mwili unajoto kal sielew ni UTI au
Matunda gani yanayo ongeza damu kwa haraka?