Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ukiwa umebeba ujauzito sikuile ya kwanza umefanya mimba ikaingia tumbo linauma?
Huwenda likauma ila hatuwezi kusema ni ujauzito. Kwani maumivu ya tumbo kwa mwanamke yanahusiana na mambo mengi
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Naomba kuuliza me niliweza kulala na mwanamke baada ya wiki tatu nikaambiwa kuwa amethilika nilipoenda kupima nakakutwa sina maambukizi na mwezi wa tatu tena nikapima sikukutwa na maambukizi swali langu je naweza kuwa na maambukizi ama sikupata maradhi siku nilipo lala nae??
Pia Kuna uwezekano mwanamke kua na ujauzito pasipo discharge yaani kutokwa na damu
Habari za uzima nina ndugu yangu anaumwa kuna dude frani limetokezea kama ulimi wa pili lina msumbua sana sijajua ni ugonjwa gani
Habari mimi nahitaji msaada mama yangu anasumbuliwa natatizo la presha ya kupanda ametumia dawa mwaka wa tatu sasa lakini bado tatizo halipungui
Nahitaji kujuwa kwann nikiwa kwenye siku hatari, huwa najisikia maumivu ya chuchu, kitovu
Jemapigo ya moyo kwa mimba changa yanaweza kubadilika ndani ya wiki moja