Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ukiwa umebeba ujauzito sikuile ya kwanza umefanya mimba ikaingia tumbo linauma?
Huwenda likauma ila hatuwezi kusema ni ujauzito. Kwani maumivu ya tumbo kwa mwanamke yanahusiana na mambo mengi
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Shekh mm nilikua nomb tahiat kubw na ndg huag zanisumbua kam kunauwezekan unitumie
Samahani naomba kuuliza nimeingia pireod mwezi wa kwanza na mpaka sahivi sijaingia na mimi ni mama nae nyonyesha je naweza kuwa na mimba au vip
Habari ndugu nina mtoto wa miezi5 ana tatizo la kukoroma lina miezi miwili sas kapatiwa tiba ila bado ana koroma tu dawa alizo tumia ndo Izo ila tatizo liko pale pale
Na pia mtu mwenye ujauzito uke wake waga ukoje unakuwaga mkavu au unatoka utete Kila siku
Mala nyingi fangasi yangu inajirudia jirudia sana
Mama mjamzito akishajifungua hurudi katika hali ya kawaida