Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ukiwa umebeba ujauzito sikuile ya kwanza umefanya mimba ikaingia tumbo linauma?
Huwenda likauma ila hatuwezi kusema ni ujauzito. Kwani maumivu ya tumbo kwa mwanamke yanahusiana na mambo mengi
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mtoto anaweza kuzaliwa miezi nane na akaishi?
Miyezii tisaaa kamili tenaa tarehe niloandikiwa sptl kujifunguaa sija jifungua mpkaaa asaiv imeniandikiaa tarehe 25 lkn naona bd maumivu makalii tu yakiuno kumaa na kuachiaaa na mguu kumaa tumbo haliniumi lkn kiuona tu na kutokaa maji maji meupee mazito sijajua tatizo nn
Kama mama mjamzito ana presha yake iko juu je atasaidiwa vipi ajifungue
Habari za kazi mkuu,ninalo swali kuhusu vitamin,k,inafanya kazi gani kwa mwili wabinadam
Je kugusana na mwanamke ambaye unaruhusiwa kumuoa kama mkeo ukiwa na udhu je habatwilishii udhuu?
Habari napenda kujua kuhusu dawa za pressure