Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ukiwa umebeba ujauzito sikuile ya kwanza umefanya mimba ikaingia tumbo linauma?
Huwenda likauma ila hatuwezi kusema ni ujauzito. Kwani maumivu ya tumbo kwa mwanamke yanahusiana na mambo mengi
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Samahani Mimi namahusiano na mtu anaetumia dawa za vviu mimi cina je nisipotumia kiga na pakawepo na msunguano nawezakupata maambukizi
Da dokta usinichoke nikutaka kujuwa tu pia ninauliza kwanini tunapoenda kupima hospitali twende miezi 3 wakati kipimo uonyesha kuanzia wiki 3
Vipele vidogo vidogo chini ya uume halafu ukivikuna vinatumbuka na kuwa kidonda
Naomba ushauri nina ndugu yangu ana presha huwa inapanda hadi 190 je nimsaidia je
Asante kwa kutuerimisha na nikwa je mimba ya wiki moja unaweza ukapima na ikajulikana?
Nauliza vidonda vya tumbo vinatibika?