Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Moyo kuuma na kutoka jasho jingi nn shida
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 25
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mm kuna dalili sizielewi na ninajisikia kichefuchefu mate kujaa mdomon napia naumwa kichwa bado sija elewa dalili hizi kiukweri naomba msaada
Naomba kuuliza kwa mtu mwenye tatizo la gonorea anapaswa kutumia dawa gani endapo tatizo lake lina kama mwaka mzima
Habari mimi ni msichana wa miaka 28 nahisi nilifanya mapenz na mtu si salama na hatukutumia condom je! Naweza kujua dalili za mwanzo za V.V.U?
Jadili makundi matatu ya wanga , toa mifano kwa kila kundi
Shida yangu je matiti yangu yananinyima Raha kabisa yaani sipendi kuvaa brazia kwa mda mrefu Ila kutokana na ukubwa wake inanilazimu nivae tu pindi navyoamka naomba Kama Kuna dawa ambayo inaweza kunisaidia bila madhara ,,sijaolewa bado Wala sijazaa
Mm naumwa na tumbo side ya left chini kabisa Yani kunadundadunda mpka sometimes nasikia maumivu halafu nakojoa kila mara