Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je kipimo cha mkojo huonyexha mimb ikiwa na mda gan
Kipimo cha mkojo huonyesha ujauzito ndani ya wiki tatu. Hata hivyobinashauriwa kupima baada ya kuikosa siku zako.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari samhn mim naon dalil za ujauzito Kuna muda kichef chef minakuja kwa muda usingizi na mstari chin ya kitovu kun mstar mweus kwa mbali lakin nashangaa Leo naziona siku zangu sjui kwanni inakuw hivi
mimi nina minyoo na wasikia kabisa wakiwa wana tembea nyuma nime tumia dawa ya Albendazole lakini bado napata dalili za minyoo
Naomb kusaidiwa nime2mia kipimo cha mimba ndani ya wiki 3 kinaonyexha mimba hamna na ninasikia chuchu zunauma na tumbo kujaa je xhida ni nn au vipimo vinadanganya naomb msaada tafadhar
Habari zasiku mtaalamu kwanza pole na majukumu Leo nilikuwa na maswali mawili nilitaka kuyafamu mija je dalili za HIV utofautiana kati ya mwanamke na mwanaume?
Mbili je mtu alieasilika katumia wembe kunyolea ila hajajikata kutokwa na damu na akatumia mwingine ambae hajaasilika nae hajajikata je akuwa kaambukizwa?
Habari naitwa Neema ninashida mate yamekuwa na ladha nyengine na maziwa yanauma na nimepima mimba Sina
Hello nimeanza hedhi tarehe 8-12 na nina mzunguko wa siku 21 ,je siku ya kupata mimba ni zipi? Nahitaji mtoto