Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je kipimo cha mkojo huonyexha mimb ikiwa na mda gan
Kipimo cha mkojo huonyesha ujauzito ndani ya wiki tatu. Hata hivyobinashauriwa kupima baada ya kuikosa siku zako.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Swali langu ni Tezi Dume inaweza kuwa sababu ya korodani kuuma na je husababishwa na nini ?
Dalili za mimba zinazoonekana ukeni
Asante kwa kutuerimisha na nikwa je mimba ya wiki moja unaweza ukapima na ikajulikana?
Et kupt maumv makal ya tumbo chini ya ktov yanaeza ikawa dalili ya ujauzito,,,afu na kipimo Cha ujauzito kinaanza kusoma kwa muda gan
Habari? Samahani naomba kuuliza swali he unaweza pata dalili za ujauzito baada tu ya siku tatu? Na je inaweza sababisha ukilala kwa mgongo tumbo liume?
Habari.tatizo la kumwaga mapema linaweza kutibika?