Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Fangasi wanasumbua uumeni n muda wa week mbili sasa
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 295
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari ya saizi,nimesoma vizr ujumbe wenu nanimeuelewa lkn mm naona dalili ya ukurutu mwilin mwangu ambao cjawah kupata toka nazaliwa yni na niliwahi kuwa napunye miaka minne iliyopita nimetumia kila dawa punye cjapona je punye Hilo inaweza ikawa dalili ya vvu?
MWANAMKE ANARUHUSIWA KUFANYA MAPENZI MWISHO MIEZ MINGAPI COZ BAADHI YA WATU HUSEMA UKIFANYA MPAKA MWISHO MTOTO HUZALIWA MCHAFU KICHWANI
Je ukimwi unaambukizwa kwakufanya mapenzi bila kingà làkini kàtika màhusiaño ayi aujawai patikana mchubuko
Nnamchumba wangu nampenda sana lakn Kwa bahat mbaya nmebeba mimba ya mwanaume mwingine nifanyeje
Kuonyesha kwamba mwanamke ana mimba matone ya damu hutoka sku ngapi?
Sababu yamapigo ya mtoto kupungua kwamimba ya miezi Tisa nini?