Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Fangasi wanasumbua uumeni n muda wa week mbili sasa
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 295
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Pilipili hutowa ujauzito
Na je Kuna complication gan anazopata mtyu akitoa ujauzito wa wiki mbili
Habari samhn mim naon dalil za ujauzito Kuna muda kichef chef minakuja kwa muda usingizi na mstari chin ya kitovu kun mstar mweus kwa mbali lakin nashangaa Leo naziona siku zangu sjui kwanni inakuw hivi
Samahan nime nilifanya mapenz na mtu mwenye ukimwi ila nikawa nimemaliza massa 24 kabla sjafka kwenye kituo Cha afya baada ya apo ndo nikajua mwenza wangu nimdonjwa nikaenda wakanipa izo dawa za prepo
Nime maliza masaa 24 kabla ya kuchukuwa dawa izo za prepo ila wakanipatia ivyo ivyo naweza saidika apo naizo dawa doct baada ya kuzitumia
Shida yangu je matiti yangu yananinyima Raha kabisa yaani sipendi kuvaa brazia kwa mda mrefu Ila kutokana na ukubwa wake inanilazimu nivae tu pindi navyoamka naomba Kama Kuna dawa ambayo inaweza kunisaidia bila madhara ,,sijaolewa bado Wala sijazaa
Shekh mm nilikua nomb tahiat kubw na ndg huag zanisumbua kam kunauwezekan unitumie