Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Fangasi wanasumbua uumeni n muda wa week mbili sasa
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 295
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
habari samahani mimi nililala na mtu wangu siku za hatari and nikanywa p2 je naweza kupata mimba coz tumbo linauma na naona kama damu nyepesi
Je ukifanya tendo la ndoa siku ya Kwanza kutoka kwenye siku zako, Unawez kupata mimba
Muda wa kujifungua umefika na Kuna dalili za damu ukeni je no dalili moja wapo ya uchungu
Na je Kuna complication gan anazopata mtyu akitoa ujauzito wa wiki mbili
Me nataka kujua wakati wa kutoa shahada unatamka maneno gani
Nina majimaji yanatoka kwa wingi yaan naweza badilisha chipi hata Mara 3 kwa siku alafu yakitoka yanaganda kwenye chupi hiyo Ni Hali ya kawaida harufu yake ipo Ila sio mbaya kivile. Je ni nini tatizo