Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Fangasi wanasumbua uumeni n muda wa week mbili sasa
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 295
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Na je siku za hatari kwa mwanamke kupata ujauzito ni hizo nane tu? Ikiwa alipata hedhi tare 1 na kuanzia tarehe 11 Hadi 18 ndizo hatari?
Mi maziwa yamejaa na yanauma. Ila hii dalili naisikiaga nikikaribia period ila pia nimesex juzi sa sielew hapo ni mimba au period
Habari hongera kwa majukumu naomba msaada kwa mtu mwenye saratani ya shingo ya uzazi atumie vyakula gani
Samahani naomba kuuliza nimeingia pireod mwezi wa kwanza na mpaka sahivi sijaingia na mimi ni mama nae nyonyesha je naweza kuwa na mimba au vip
Et kupt maumv makal ya tumbo chini ya ktov yanaeza ikawa dalili ya ujauzito,,,afu na kipimo Cha ujauzito kinaanza kusoma kwa muda gan
Kwanin mtu anapata dalili zote za kUingia period kabla ya tarehe na tarehe ya kUingia period damu aziona na dalili zote za kUingia alikuwa nazo ii inasabsbishwa na nn