Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mm naumwa kwenye upande wakushoto juu tumbo linako azia
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1059
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Doctor habari Mimi Nina darili zote za mimba lkn Jana nimepima kwenye (upt) ukachora msitari mmoja alaf ni mstari nusu Shida ni nn
Samahani muudumu naomba unielekeze kuhusu hili swala nilialibikiwa mimba ya mwezi mmoja na nilitokwa na damu ndan ya wikiii sita na nimekaa wiki mbili damu zinatoka tena ivii ni tatizooo aul
Na pia baada ya damuu kukata nilitokwa na ute ute ambao ulikuwa unaniwasha
Habari za jion samahan nlikuwa nauliza maana mm period naingia tarehe 2 ila mpk leo sijaziona na nashikwa na kizunguzungu pia tumbo linakuwa linauma japo si kila mda pia nakua nahis kuna kitu kimekaa kwenye koo km kinataka kutoka ety itakuwa ni dalili ya mimba au?
Mfano umelala na mtu ukatumia kinga kwenye shugli gafla ukashtukizia CD imepasuka gafla ukatoa apo Kwa apo ivo unaeza ambukizwa vvu
mimi ninatokwa na maji mengi ukeni na sipo siku ya tari nilibidi nianze kubleed ndipo ayo maji yameanza kutoka kwa wingi kama uterezi ya yai
Je, unaweza kupata mimba ukiwa haupo kwenye cku za hatari?