Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mm naumwa kwenye upande wakushoto juu tumbo linako azia
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1059
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je kuwa namabaka mekund kwenye mdomo ni dalili mojawapo ya ukimwi
Hllo hamjambo mmi natumia dawa za prep na nimeanza kuzitumia jana 00:00 lkn leo sku ya pili nimelala baada ya kuamka nimepitisha dakika nikanywa 00:58 kesho nafaa ninywe muda gani tafadhali maana nimechelewa kwa dakika tafadhali nishauri
Nliotumia vitunguu swaum lkn Mar baad ya kukutan na mwenza wangu naon majimaji ya rangi km njano kuelekea kahawia yamekuwa yakitok mengi ad naogop lkn ilikuwa n siku ya htr
miaka 23 mm ni mwanamme nina mwenzang ambae tulikutana na tukafanya tendo mara baada ya yeye kutoka edhi siku 2 tu je kuna possible ya yeye kuwa mjamzto
ninapresha ya kushuka je inasababisha kooni kubana
Naomba kujua ninapohisi kichefuchefu na sihitaji chakula chochote nifanyeje