Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mm naumwa kwenye upande wakushoto juu tumbo linako azia
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1059
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nliotumia vitunguu swaum lkn Mar baad ya kukutan na mwenza wangu naon majimaji ya rangi km njano kuelekea kahawia yamekuwa yakitok mengi ad naogop lkn ilikuwa n siku ya htr
Miyezii tisaaa kamili tenaa tarehe niloandikiwa sptl kujifunguaa sija jifungua mpkaaa asaiv imeniandikiaa tarehe 25 lkn naona bd maumivu makalii tu yakiuno kumaa na kuachiaaa na mguu kumaa tumbo haliniumi lkn kiuona tu na kutokaa maji maji meupee mazito sijajua tatizo nn
Meingia kwenye period tarehe 10 nikakutana na mwanaume tarehe 22 p2nilimeza kesho yake jioni je naweza para mimba
sikuhatar za kupata ujauzito kwa mwanamke nisiku gan
Morning... sorry nina swali.. nasumbuliwa sana na vidonda vya tumbo na inapelekea mpka vinafika kooni ... je nitumie dawa dawa gani ili zinisaidie???
Kuna mtu anatumia miwani na bado macho yanamuuma,je atumie dawa gani ,au afanye nini ili kuweza kuondoa tatizo hilo?