Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Samahan unaweza kuuamini vip Kama una ujauzito
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 765
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
habari mimi apa nahisi na ujauzito lakin sina uhakika naomba ushauli wenu
Mimi maziwa yalikuwa yanauma ndani ya siku 7 siku ya 13 nimeona damu je.ninamimba
Mim ninaukosefu wa nguvu zakiume, naomba msaada
Tatz lang tok mwez wa pili mwishoni najisikia viby km tumbn Kuna kt hasa kilikuwa kinatembea ila saiv nahs sana maumivu upande wa kushoto km kweny mbavu .na nikibeba kit kizito naumia nahs km kunatoka chin.mda mwengn km kuchefukwa .na sijaingia ktk siku zng na ilikuwa Leo .je tatz ni nn
Naomb kusaidiwa nime2mia kipimo cha mimba ndani ya wiki 3 kinaonyexha mimba hamna na ninasikia chuchu zunauma na tumbo kujaa je xhida ni nn au vipimo vinadanganya naomb msaada tafadhar
kuna muda uume unalegea kwenye tendo.. na sanyingine inanitokea tuu unalegea kabla hata sijaanza