Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mimi Nina umri wa miaka 33 ninatatizo la kutoshika ujauzito
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1167
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mimi Nina mimba ya miezi 5 lakini Nina tatizo la kutokwa na maji maji ukeni wakati mwingine na damu yenye mabonge mabonge kama mwezi mzima sasa
Je mwanamke mwembamba ataweza jifunguaa Kwa njia ya kawaida
nina kizunguzungu nini tatizo maana siumwi kitu
Fangasi wa uume unatibuje kwa mafuta ya nazi na ni yep yanafananaje
Nataka kuyua njinzi ya kulinda afya yangu
Mimi Nina tatizo LA kuwa nikimkojolea mwanamke shahawa baada ya dakika chache anakuwa anahisi maumivu makali tumboni mwake nimetumia dawa za hospitali lakini tatizo linazidi kuwa kubwa na si Kwa mke wangu tu nimejaribu pia Kwa wanawake wengine hali Bado ni Ile Ile.Nifanyaje Ili nikae sawa?