Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mimi Nina umri wa miaka 33 ninatatizo la kutoshika ujauzito
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1167
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kinywa changu kina Matatizo mdomo kutoka alufu Na ukipiga mshwaki alafu inahamia puani sijuwiiii chanzo. Ni nini?
Naomba kujifuza jinsi ya kuoga janaba
Habari? Kuna dawa za kumaliza pressure ya kupanda moja kwa moja mbona mi Kila nkienda hospital napewa dawa za muda mfupi tu Kisha baadae pressure inanirudia tena
Maana Mimi mke wangu tarehe ya kujifungua iliyokadiriwa ni 11/3/2023 lakin naona saiz kama anadalili za uchungu anaumwa tumbo ,uchovu mwingi,mtoto anashuka chini,nk
mm natakakujua freee day & dangerous day make mwez huuunimeingia prd18 mpk 23
Nnajisikia tumbo kwa chini maumivi upande wa kushoto mda mwingine kama gumu hvi maumivi yanaenda hadi korodani upande wa kushoto na mshipa ule unaoshikilia korodani ya kushoto unaumaa hadi ngozi ya korodani inakuwa nyepesi hadi inanata kwenye mapaja