Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kwanini ngozi huwasha mara kwa mara na nisehemu ile ile?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 498
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habar naomba kufahamu zaid kuhusu dalili za minyoo je pia unaweza kuwa nahici mwili kuwaka moto au haswa kwenye mwanga au joto adi unataman kupulizwa na upepo
mafua huchukua mda gani kupona
Unaweza kupata virusi bila kujamiiyana
kwenye kibofu changu Cha mkojo Kuna maji maji ambayo hayakauki na nahisi maumivu makali yasiyoisha sijajuaa shidaa ni nini
Habari ni vitu gani mgonjwa wa madonda ya tumbo atumie ili kupunguza maumivu
Asante. Mm naomba niulize swali sijapitiliza hezi lkn mwili wangu nauona upo tofauti sana nipo very hot haswa nyakati za usi na mchana nikiwa kwenye shuri zangu huwa naishiwa nguvu nakuwa kama mtu nile lala njaa pia napata mate km ya Mt mwenye homa mepesi na maziwa yanauma pia lkn nilipima na utp majibu sina mimba na siku nilizo bakiza ni siku 6 tu niingie hezi.
Swali langu kwako jee? Inwezekana kuwa nina mimba nimewahi kupima au