Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kwanini ngozi huwasha mara kwa mara na nisehemu ile ile?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 498
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nmefanya mapenzi siku salama lakini mpaka sasa sioni siku zangu nn shida
As salam alaiykum, ni myama gani huyu atakae semezana na watu?
Nimesoma makala Yako kuhusu dalili za ukimwi ,nahitaji kujua ni Kwa muda gani mtu atachukua virusi kuonekana kwenye vipimo anapoambukizwa
Habari, nauliza kama ukiwa unakojoa mkojo mchanganyiko na partical nyeupe nini shida? Hii shida ilinipata nikaenda hospital wakanipa cefxine ikaisha hii Hali imerudi tena nimechoma ceftriaxone inj Bado ipo . Ni nini shida?
Nina Miaka 25 ni mwanaume. Tatizo langu ni kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa Hadi kupelekea kushindwa kufanya tendo lenyew hii hutokana na sehemu za Siri (korodani kuuma au kukaza) na kupelekea pia sehemu ya juu ya kupata maumivu pia na tatizo hili limenianza mwaka huu
Ninasumbukiwa na uvimbe wa titi nitajuaje kama uvimbe ni wakaida na nimda gani nikae ili nikamuone doctor?