Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kwanini ngozi huwasha mara kwa mara na nisehemu ile ile?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 498
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Samahan nime nilifanya mapenz na mtu mwenye ukimwi ila nikawa nimemaliza massa 24 kabla sjafka kwenye kituo Cha afya baada ya apo ndo nikajua mwenza wangu nimdonjwa nikaenda wakanipa izo dawa za prepo
Nime maliza masaa 24 kabla ya kuchukuwa dawa izo za prepo ila wakanipatia ivyo ivyo naweza saidika apo naizo dawa doct baada ya kuzitumia
Nataka kujua dawa na matibabu ya gonoria
Je ukosefu wa vitamin E unaweza kusababisha nywele kunyofoka,kizungu zungu,pamoja na kuzubaa yaani kutokua mchangamfu
Nataka kujua kuhusu fangasi
Swali langu ni kwamba kiungulia linaweza sababisha Kansas ya Koo?
Bibi yangu amemaliza almost 2months hajapata cku yake ya hedhi na Hana mimba