Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kwanini ngozi huwasha mara kwa mara na nisehemu ile ile?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 498
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habar docktor samahani gome la mwembe nasukutulia au nakunywa???
Samahani naomba kuuliza je kama mwanamke huendi mwenzini ila uteute wa damu ukiwa unana unatoka uwezekano wa kupata mimba upo
Kama hali ya mkoj inasababishwa na madawa wakati mwingine je inachukua mda gani hiyo hali kukata na kurudi hali ya kawaida kukojoa mkojo mweupe tafadhali naomba ushaur doctar
Kwanin mtu anapata dalili zote za kUingia period kabla ya tarehe na tarehe ya kUingia period damu aziona na dalili zote za kUingia alikuwa nazo ii inasabsbishwa na nn
mm najaribu kufanya sex kwenye siku hatari lakn Mtu wangu hashiki mimba mpk saiv Nina miezi Tano tunatafuta mimba lakn Hamna. Na pia Kwa Upande wangu naona manii ni nyepesi sio Kama zinazohitajika . Nini suluhisho lake mkuu
Samahan naomba kuuliza je Romanc yaani Denda linaambukiza Vvu?