Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nmefanya mapenzi siku salama lakini mpaka sasa sioni siku zangu nn shida
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 585
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Ulimi ukishambuliwa peke yake ni fangasi?
Natokwa na majimaji ukeni masafi hayana harufu yeyote lakin Kuna mda yanaweza yakatoka mengi kidogo kiasi Cha kulowesha chupi mpaka taiti
Ni tatizo Gani hili? Kwa sasa ni siku ya nne tangia nilione tatizo hili na lilianza mara tu baada ya kukutana kimwili na mwanaume
Naomba unisaidie nashida moja kweny koo nikila pipi au k2 chochote chenye sukar naskia kooo linakaauka itakuwa ni shida ya nn
Nsikia upande wangu wa kushoto kwenye kifua kunawaka moto Sana?
Mm nimjamzito nanimefikisha miezi Tisa mtoto anatuna sehem Moja maumivu yanakua makali tatizann namgogo
Kwanini mjam mzito wamwezi mmoja mbavu zina mbana namaziwa yamejaha yote n a chuchu zina Uma naku washa