Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nmefanya mapenzi siku salama lakini mpaka sasa sioni siku zangu nn shida
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 585
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Ninasumbuliw na fangas na nikatumia dawa ya mba ya maji ila tatizo likaendelea nikamwona mshauli wa afya akanipa vidong kumi na nimetumia ila bado hali niayo tyu vile vile naomba ushaulo kwako
Je p2 inaweza kushindwa kufanya kazi?
Mimi nina uti ambayo aiponi inajirdia rudia sasa sielew shida nn au nitumie dawa gan nina kama miez sita sasa naumwa uti naccki hari yeyote mbya wala dalili zozote mlizozitaja ila uti ninayo
je inaweza kutokezea tumbo kuja juu upande mmoja t halafu kurudi ukawaida ndani ya wiki 1 vip inaweza kutokea au huwa ges yatumbo t
Nataka kuyua njinzi ya kulinda afya yangu
Kwanini ngozi huwasha mara kwa mara na nisehemu ile ile?