Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mdomo Wangu Unabadilika Langi Na Nikipiga Mswaki Fizi Inatoa Damu
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 160
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Niliingia hedhi kwa mwez mara mbili ndipo nilipenda kupiga utra sounds nikapewa dawa za wk 2 akasema hayo maji yanasababishwa na PID sasa dawa zimeisha leo bado anasema mayai yapo vzr ila kuna maji
Na hajanipa dawa kasema nikae baada ya wk 3 niende tena
Ninapenda kuuliza swali, kuhusu tiba ya macho, macho yanaona vimulimuli Kwa mbele, vikiisha hvyo vimlimli kichwan kinaanza kuuma Sana,, je nitumie Gani kutibu tatizo Hilo, au ushauri Gani Ili niweze kujikinga na tatizo kama hili
Samahani docta ukitumia p2 cku ambayo nimefanya mapenzi alafu cku ya tatu pia nikafanya mapenzi na nikasahau kumeza p2 je inaweza kuleta shida
Namaswali machache Kuhusiana kushik mimba. Mimi niliingia period tarehe 4 mwez uliopita yaan December, n mwez wa11 pia niliingia hedhi tarehe 4. So maximum kua siku ya hatr n siku ya10 c ndio ambay n tareh13 na nimekutan n mmewangu siku za hatr kimwili, leo nimepima mimba Ila kimekuj kimstari kimoja, inamaanisha sina mimba au nimewahi kupima ujauzito?
Na dalili zifuatazo tumbo kujaa ges alaf wakati wa kucheua napata shida njaa mda wote naomba msaada
Maji maji meupe ukeni naomba kujua chanzo chake na tiba yake kama mgonjwa anadalili ya fangasi.