Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mdomo Wangu Unabadilika Langi Na Nikipiga Mswaki Fizi Inatoa Damu
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 160
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nina miaka ishirin na nne na nijinsia ya kike, nilikuwa na swali kuwa nitatumia dawa ipi kuzuia fangasi ambayo imeleta vidonda ndan ya uke? Maana nikijisafisha naona had damu
Leo Ni siku ya pili nimeamka kiuno kinauma he Ni kawaida kwa mjamzito kiuno kuuma au na lenyewe Ni tatizo
Habari napenda kuuliza jinsi ya kutengeneza mafuta ya zaituni na faida ya kula matunda yake
Habari Mtaalam, Mimi ni mwanamke ambaye tumetengana na Mumewangu mwaka mzima.Wiki hii alumina nyumbani na tukashiriki tendon la ndoa. Masaa 5 baada ya kushiriki mwili ULIKUWA MCHOVU hadi nikaanza kulala Orsini hadi sasa ni siku ya tatu mwili ni MCHOVU siwezi Tanya chochote.
Nina umri wa miaka 19 ni jinsia ya kike swali langu ni kwamba sikupata hedhi ya miezi mitatu na nikakutana kimwili sasa je? Naweza kuw na ujauzt
Je mwanamke mwembamba ataweza jifunguaa Kwa njia ya kawaida