Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Maziwa kuongezwka ukubwa bila maumivu nidalili ya mimba
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 175
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari vipi unaweza kupata siku zako na ukawa na ujauzito kwa wiki za mwanzo kabla hata haujafika mwezi
Mm naisi kizunguzungu nasaidiwaje japo nimefanya udma ya kwanza na aijanisaidia
Kaka yangu ikifika mchana yaani saa sita anaanza kuona kizunguzungu ana kaa chini au sehemu ya kivuli ndoo inapoa sasa nini matibabu yake
Kupata vichomi nazo ni dalili za ujauzito na hizo homon zasababishwa na nin kubadilika
Kabla ya mada yenyewe vipi viupele vya ukimwi vinatokea mdomon kwa nje kidogo vikiwa na rangi nyeupe ukivikwangua vinakuwa vyekundu ila aviumi?
Me sahv nina miezi miwili na week 2 toka nijifunguwe mwishonib mwa mwez wa tatu nilikutan kimwil na mume wangu nilimeza kun dawa nilipew ya uzaz wa mpengo ni nyeupe niliambiw nimeze kil cku nilimeza zile cku tu nilizokutan na mume wangu tarh 10 mwez huu niliingia period na ilitoka kwa cku mmoja tu na sijasex tena toka cku nilivyoblleed je kuna uwezekano wa kuwa na mimba???