Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Maziwa kuongezwka ukubwa bila maumivu nidalili ya mimba
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 175
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mim ninaukosefu wa nguvu zakiume, naomba msaada
Vipele vidogo vidogo chini ya uume halafu ukivikuna vinatumbuka na kuwa kidonda
nasumbuliwa na chuchu za maziwa kuuma wiki ya pili na mgongo kuuma hizi ni dalili za mimba
Nina umri wa miaka 19 ni jinsia ya kike swali langu ni kwamba sikupata hedhi ya miezi mitatu na nikakutana kimwili sasa je? Naweza kuw na ujauzt
Naomba kuuliza je kwa mtyu mwenye mzunguko wa siku 28 akishiriki tendo la ndoa cku ya kumi kutoka cku ya kuanza mp mfano mp nmeanza trh 6 then nkafanya mapenz trh 15 je napata ujauzito
Samahani mimi ni msichana wa umri miaka 21 mmoja wapo ninae sumbuliwa na maumivu hayo makali chini ya kitovu upande wa kushoto na wakati mwingine hupelekea maumivu hayo kwenye mguu upande huo nilikuwa na hitaji maelekezo zaidi kuhusu maumivu hayo na jinsi ya kuyatibia