SWALI

Habari nimehifrahia makala Yako hila naomba kujua itachukua kipindi Gani kuzitambua hizi dalili za ukimwi endapo atakuwa amepata maambukizi kwa mara ya kwanza??

Swali No. 228




JIBU

Itachukua miaka hatavmitano ama zaidi kupata dalili za UKIMWI. Itategeneana na hali ya kinga ya mwili wako. 

 

Ama dalili za HIV ama VVU itachukuwa wiki mbili hadi sita kuoata dalili za HIV ama VVU



Kumbukumbu
Swali hili limeulizwa na Muulizaji Kutoka WhatsApp Chat yetu tarehe 07-02-2023-18:05:01 . Jina la muulizaji limehifadhiwa.

Nicheki Nicheki WhatsApp






MASWALI YANAYOFANANA