Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ni mkojo tu unauma na nikimaliza kidamu kidogo kinatoka ni mkojo tu
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 649
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
habari ninatatizo la fangas kwenye pachu za mapaja nahitaji matibabu kwenu napataje huduma?
Nnajisikia tumbo kwa chini maumivi upande wa kushoto mda mwingine kama gumu hvi maumivi yanaenda hadi korodani upande wa kushoto na mshipa ule unaoshikilia korodani ya kushoto unaumaa hadi ngozi ya korodani inakuwa nyepesi hadi inanata kwenye mapaja
As salam alaiykum, ni myama gani huyu atakae semezana na watu?
Je kwa mwanaume alie mpa mimba mwanamke ana kua kwenye hali gan ??
Nimekosa hedhi yangu mwezi w tatu hadi sasa sijauwona nilipimaa mwezi huuu sijaona mimba na maumivu ya tumbo nayasikiaa na sijawahi kufanya bila kinga
Kuna uwezekano wa mtu kubeba mimba ilihali anatumia (majila)sindano za kuzuia kupata ujauzito