Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kupasuwa kwaviungo inasababishwa na nn
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 241
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Hai jaman minashida yani nateseka fangas uken vidonda kwenye mashavu afu vinawasha nitumie dawa gan
Kwahyo kumbe mtume Muhammad, alifiwa na mama yake akiwa na miaka 6?? Nani sasa akamlea baada ya kufiwa na mama Ake?
Nliotumia vitunguu swaum lkn Mar baad ya kukutan na mwenza wangu naon majimaji ya rangi km njano kuelekea kahawia yamekuwa yakitok mengi ad naogop lkn ilikuwa n siku ya htr
Naomba unisaidie nashida moja kweny koo nikila pipi au k2 chochote chenye sukar naskia kooo linakaauka itakuwa ni shida ya nn
Sijaona siku Zang za mzunguko mwez wa 3 sas je nitumie virutubisho gan ili kuwa sawa??
mm mulishawai kuumwa uti na kupatiwa tiba Ila kwa Sasa Kama sijanywa maji ya kutosha huwa inaniludia na nimechomwa sindano Mara mbili ila nikitibiwa huchukua mwezi harafu inaniludia .je, unanishauri nn Dr.