Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mtu mwenye vido ndavya tumbo vyakula gani apaswi kula
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 943
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habariii ninamchumba wangu tatizo lake mbegu zake huwa ni nyepesii sana kama maji shida huwa nin ety
ivii kika waida mwanamke ndani ya siku tatu dalili gan za mwanzo zinaeza kuwa ni kiashirio cha kuwa anamimba mkuu
Habari za jion samahan nlikuwa nauliza maana mm period naingia tarehe 2 ila mpk leo sijaziona na nashikwa na kizunguzungu pia tumbo linakuwa linauma japo si kila mda pia nakua nahis kuna kitu kimekaa kwenye koo km kinataka kutoka ety itakuwa ni dalili ya mimba au?
Mtoto wangu nilimzaa akiwa na low birth weight na huku akawa na tundu kwenye moyo na mshipa unaosambaza damu safi uko intact sasa nimekua na hofu kidogo sababu kaumbo Jake ni kadogo viguu vyembamba na vimikono nikawa na wasiwasi
Samahani nawezaje kujua week za ujauzito
Hai jaman minashida yani nateseka fangas uken vidonda kwenye mashavu afu vinawasha nitumie dawa gan