Pata jibu kamili kuhusu swali lako
je ninapochukua udhu naruhusiwa kuongea?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 516
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Naomba dalili za kufunga na kufungua kwa kufuata muandamo wa nje ya mji
Asalam alaykm naomba unipatie ushahid kuunganisha ya magharb na Ishaa kwa sababu ya mawingu
Ilkuw nina xhid na ninaomb nipat jib la hili Qn ambalo ni ..kwa kutuamia ushahid 4 ya kihistoria thibitish kuw ufufuo ni jamb jepesi
Mjane akiacha Mali halafu akawa Ameacha watoto wa Tano mmoja mwislam wengine wakristo na mjane alikuwa mwislam, swali langu Hawa watoto ambao ni wakristo Wana haki ya kumrithi mama Yao? Naomba unisaidie majibu pamoja na kifungu kitakacho patikana juu ya jibu lako. Asante
je katika uislam maulid zinaruhisiwa?
Shaikh samahan nauliza nini hukumu ya mwanamke asiyemtii mumewe katika mambo ya kheri?