Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je kuswali Hali ya kuwa nguo imevuka ugoko ni saw
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 777
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je maneno yakwenye bible ni ya uongo
Nashukuru Swali langu ni kuhusu maana. Ya kijakazi atamzaa bibi yake Katika hadithi ya pili kati ya hadithi arobaini zak imamu annawawiy
Nina swali sheikh nahitaji msaada wa Elimu.
Nimeingia kwenye mgogoro na Mke wangu asubuhi hii kwa kuwa alikuwa akitamka maneno ambayo mimi sitaki kuyasikia kutoka kwake. Nimemuonya mara ya kwanza hakusikia, nikamuonya tena hakusikia, nikamuonya mara ya tatu kwa kumuambia kwamba *"Ukiniandikia tena Maneno haya basi nitakuwa nimekuacha"*. Naye akayaandika tena? Je, hapa talaka imetoka? Na hukmu yake ni ipi?
Ni nini kifanyike ili lengo la nguzo za uislamu zifanikiwe. Hoja nne
Sababu zinazopelekea kutofikia lengo la zakka na sadaka
Swali langu nauliza nikuwa talaka inayokubalika ni talaka zipi