Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kijiji chao nabii ibrahim kinaitwaje..? Na kilikua kikaliwa na watu gani.?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 313
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Swala tu tahjjud ktk izi swala naweza soma sura yyote au
Asalam aleykhum ,he mtu huweza kudumu na udhu kwa swala zote tano kama hatopatwa na moja ya yayotengua udhu ?
Je n mke gani alikufa shaidi enzi za mitume
Marehemu ameacha mke na mtoto miaka 10, wazazi wote baba na mama yake wamefariki mali ya marehemu itarithishwa nani na kwa mafungu gani
Assalam alaykum nauliza je ni dhambi kusoma qur-an ukiwa kichwa wazi
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh. Mimi nna suali kuna mtu kafa alizaa mtoto mmoja mtoto wa kiume kafa kabla ya mama . Baadae mama kafa hana mtoto mwengine ila kuna wajukuu wa mtoto wake huyo mmoja wa kiume aliyekufa na pia kuna dada yake baba mmoja hao tuu ndio waliomzunguka wakaribu wengine ni watoto wa dada zake jee mirathi hapo inakuaje?