Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Habari ni vitu gani mgonjwa wa madonda ya tumbo atumie ili kupunguza maumivu
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 296
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari mi nilikuwa na mimba ya miezi miwili ikawa imeharibiki nikaenda kusafishwa ,baada ya siku tano nikaaanza kushiriki tendo la ndoa hadi leo je sijawahi kushrki tendo hilo na halina madhara
Mm Nina miaka 32 ninamida sasa natumia dawa za ukimwi na cjawahi pata tatizo lolote toka nianze kutumoa na toka nianze kutumia dawa ninazaidi ya miaka SITA Sasa hivi karibuni nimeanza kupata vidonda vya ulimi uja na kuondoka je tatizo linawekua nn
Bibi alienda period tarehe21 tumekutana kimwili 4 anaweza shika Bal kweli
Ivi nishamaliza kuswali faradhi je naweza swali swalayoyote yasunna?
Je kama mwanamke hataki kuswali alaf hana tabia nzur na wazaz wangu yaan hawaeshim kiujumla. Je sheria inasemaje kwa mwanamke huyo
ivii kika waida mwanamke ndani ya siku tatu dalili gan za mwanzo zinaeza kuwa ni kiashirio cha kuwa anamimba mkuu